Wakristo na Waisilamu tujadili vifo vya Mitume

Wakristo na Waisilamu tujadili vifo vya Mitume

Mkimuyangu

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2022
Posts
1,054
Reaction score
1,947
Hivi kuna Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyekufa na Maiti yake ikaa zaidi ya siku moja bila kuzikwa?

Waisilamu wao mtu akifa huzika siku hiyohiyo,lakini Wakristo wanaweza kukaa na mwili wa marehemu zaidi ya siku moja,Je ni upi utaratibu wa Mungu?
 
Hao unaowaita mitume wa mungu, aliekwambia kwamba Mungu ndie aliewatuma ni nani? Wao wenyewe kujiita mitume na kusema wametumwa na Mungu ama Mungu mwenyewe kuwatangaza kwamba amewateua na kuwatuma?

Kwani mtu akifa na akazikwa leo ama wiki ijayo ama mwaka ujao unaathiri nini mipango ya mungu dhidi ya huyo mtu? Na what if asipozikwa akakaushwa na kuwekwa maonyesho, Mungu anaathirika na nini?

Dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.
 
Hivi kuna Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyekufa na Maiti yake ikaa zaidi ya siku moja bila kuzikwa?

Waisilamu wao mtu akifa huzika siku hiyohiyo,lakini Wakristo wanaweza kukaa na mwili wa marehemu zaidi ya siku moja,Je ni upi utaratibu wa Mungu?
Mtume Mwamposa?
 
Nakujibu hivi,kidini hakuna sheria inayotaka Mtu azike siku hiyo hiyo Wala akae mwaka pindi akifa ktk uislam mfano (ntasahihishwa)ni Sunna kuzika mapema maana aliyekufa ndo kafa kuendelea kumuweka ni kuzidisha huzunii na maombolezo kitu ambacho kwetu sisi kimekatazwa kulia Kwa maombolezo...
Na Mtume s.a.w anasema,Mtu akifa azikwe haraka km kheri akakutame nayo na Shari akakutane nao
Then kwetu sisi kuzika ni faradhi isiyo ya lazima watu 40 wakiswalia mayyit akazikwe,kumsubiri nani sijuii nani Haina haha ila km mnataka mnamsubiri pia na ikijuzu msafirisheni pia maana km Kila mwanadamu Mungu anajua ardhi ya kuzaliwa basi ndo Mungu hujua yeye udongo wako Wa kuzikwa pia...
Mnisahihishe nilipokosea bila matusi wala kejeli
 
Wengine wanazikwa haraka ili wawahi adhabu huko kaburini, na wengine hawana haraka maana kaburini hakuna adhabu.
 
Hivi kuna Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyekufa na Maiti yake ikaa zaidi ya siku moja bila kuzikwa?

Waisilamu wao mtu akifa huzika siku hiyohiyo,lakini Wakristo wanaweza kukaa na mwili wa marehemu zaidi ya siku moja,Je ni upi utaratibu wa Mungu?
Mkuu Mashariki ya kati ukikaa na maiti siku mbili si lazima inuke sababu ya hali ya hewa?

Iceland, Ludewa, Isongole au Mwika maiti hata ikae siku 3 haiharibiki sababu ya hali ya hewa ya baridi

Vitu vingine ni logic tu havihitaji mjadala
 
Hivi kuna Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyekufa na Maiti yake ikaa zaidi ya siku moja bila kuzikwa?

Waisilamu wao mtu akifa huzika siku hiyohiyo,lakini Wakristo wanaweza kukaa na mwili wa marehemu zaidi ya siku moja,Je ni upi utaratibu wa Mungu?
Watakwambia zamani hakukua na friji
 
Hao unaowaita mitume wa mungu, aliekwambia kwamba Mungu ndie aliewatuma ni nani? Wao wenyewe kujiita mitume na kusema wametumwa na Mungu ama Mungu mwenyewe kuwatangaza kwamba amewateua na kuwatuma?

Kwani mtu akifa na akazikwa leo ama wiki ijayo ama mwaka ujao unaathiri nini mipango ya mungu dhidi ya huyo mtu? Na what if asipozikwa akakaushwa na kuwekwa maonyesho, Mungu anaathirika na nini?

Dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.
Bora umeongea mkuu.
 
Walikuwa wanazika haraka kwa sabb kulikuwa hamna tecknolojia ya kuhifadhi maiti.
Waislamu unadhani wanaelewa bac wao Cha Miaka 1000 iliyopita wanalazimisha iwe sheria mpaka Leo ukiwabishia wanakuambia tusipofanya tunaunguzwa ukiuliza unajuaje mtume kasema..acha tu jamani.
 
Waislamu unadhani wanaelewa bac wao Cha Miaka 1000 iliyopita wanalazimisha iwe sheria mpaka Leo ukiwabishia wanakuambia tusipofanya tunaunguzwa ukiuliza unajuaje mtume kasema..acha tu jamani.
Mafundisho ya mwarabu ni vitisho tu. Yaani hakuna kutumia mantiki, ukifanya hivyo unaambiwa unakufuru.
 
Hivi kuna Mtume wa Mwenyezi Mungu aliyekufa na Maiti yake ikaa zaidi ya siku moja bila kuzikwa?

Waisilamu wao mtu akifa huzika siku hiyohiyo,lakini Wakristo wanaweza kukaa na mwili wa marehemu zaidi ya siku moja,Je ni upi utaratibu wa Mungu?
Mungu wetu sio Mungu wa wafu, yeye ni Mungu wa walio hai kwa hiyo mambo ya kuzika wafu hana utaratibu nayo.

Watu waangalie yanayowafaa; usizike mapema mno (chini ya 24 hours) kwani yawezekana mtu wako hajafa pengine yupo kwenye koma na hii hutokea sana. Pia wape muda wafiwa walio mbali wafike msibani.

Ila pia usizike kwa kuchelewa sana (zaidi ya siku 5) kwani jambo hili huendeleza huzuni na pia huongeza gharama kwa wafiwa kutunza mwili wa mpendwa wao. Mtu akifa ni vyema azikwe ndani ya siku 4.
 
Hao unaowaita mitume wa mungu, aliekwambia kwamba Mungu ndie aliewatuma ni nani? Wao wenyewe kujiita mitume na kusema wametumwa na Mungu ama Mungu mwenyewe kuwatangaza kwamba amewateua na kuwatuma?

Kwani mtu akifa na akazikwa leo ama wiki ijayo ama mwaka ujao unaathiri nini mipango ya mungu dhidi ya huyo mtu? Na what if asipozikwa akakaushwa na kuwekwa maonyesho, Mungu anaathirika na nini?

Dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo.
Quran 20:9

Na je! Imekufikia hadithi ya Musa?

10

Alipo uona moto, akawaambia watu wake: Ngojeni! Mimi nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga kutoka huo moto, au nikapata uongofu kwenye mot


11
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!

12

Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa.

13

Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.

14

Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na ushike Sala kwa ajili ya kunikumbuka Mimi.


Kwa bahati mbaya uliyonayo Mungu alishaa jifunua Kwa watu na ameshafunga huo ukurasa kilichobaki Sasa ni kuwajua watu wenye akili na watu ambao ni vilaza

Unajua Kwa nini Mungu alifunga huo ukurasa ? Ni Kwa sababu wajinga hawaishi kuzaliwa

Yani hata kama Leo hii Mungu atajifunua kwako na wewe ukaamini Kwa kuona ishara zake kuwa kweli Mungu yupo miaka 50 au 100 ijayo atatokea mtu kilaza na mjinga kama wewe atasema hakuna Mungu hu ulimwengu na viumbe vilivyopo vimezuka tu from no where
 
TUJIFUNZE KWA YUSUFU. MWANZO 50:26.

Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri.
Mwanzo 50:26

1.Yusufu alifia MISRI .
2. Wakampaka Dawa mwili wake usiharibike.
3. Wakamuweka Katika Jeneza wakamsafirisha na kumzika.

N:B uarabuni hakuna MITI ndio maana msikitini hawana vitu.
UARABUNI hawana MITI ndio maana hawana majeneza.
 
Quran 20:9

Na je! Imekufikia hadithi ya Musa?

10

Alipo uona moto, akawaambia watu wake: Ngojeni! Mimi nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga kutoka huo moto, au nikapata uongofu kwenye mot


11
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!

12

Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa.

13

Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.

14

Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na ushike Sala kwa ajili ya kunikumbuka Mimi.


Kwa bahati mbaya uliyonayo Mungu alishaa jifunua Kwa watu na ameshafunga huo ukurasa kilichobaki Sasa ni kuwajua watu wenye akili na watu ambao ni vilaza

Unajua Kwa nini Mungu alifunga huo ukurasa ? Ni Kwa sababu wajinga hawaishi kuzaliwa

Yani hata kama Leo hii Mungu atajifunua kwako na wewe ukaamini Kwa kuona ishara zake kuwa kweli Mungu yupo miaka 50 au 100 ijayo atatokea mtu kilaza na mjinga kama wewe atasema hakuna Mungu hu ulimwengu na viumbe vilivyopo vimezuka tu from no where
Ukajiona ukileta mstari wa Quran umeleta bonge la ushahidi. Ngoja nilete ushahidi kwamba batman tupo kwenye kitabu Cha DC superheroes.
 
Quran 20:9

Na je! Imekufikia hadithi ya Musa?

10

Alipo uona moto, akawaambia watu wake: Ngojeni! Mimi nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga kutoka huo moto, au nikapata uongofu kwenye mot


11
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!

12

Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa.

13

Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.

14

Hakika Mimi ndiye Mwenyezi Mungu. Hapana mungu ila Mimi tu. Basi niabudu Mimi, na ushike Sala kwa ajili ya kunikumbuka Mimi.


Kwa bahati mbaya uliyonayo Mungu alishaa jifunua Kwa watu na ameshafunga huo ukurasa kilichobaki Sasa ni kuwajua watu wenye akili na watu ambao ni vilaza

Unajua Kwa nini Mungu alifunga huo ukurasa ? Ni Kwa sababu wajinga hawaishi kuzaliwa

Yani hata kama Leo hii Mungu atajifunua kwako na wewe ukaamini Kwa kuona ishara zake kuwa kweli Mungu yupo miaka 50 au 100 ijayo atatokea mtu kilaza na mjinga kama wewe atasema hakuna Mungu hu ulimwengu na viumbe vilivyopo vimezuka tu from no where



UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.


UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
 
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.


UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
So kitabu kipi Cha ukweli? Na kwanini na Kama point yako ni mda basi uhindu ndo wa ukweli coz ulikuwepo kabla ya wote hao 3000BC
 
HAKUNA MWARABU HATA MMOJA ALIYEWAHI KUWA MWISLAMU KABLA YA MUHAMMAD USHAHID HUU HAPA


QURAN 34:44

QURAN 43:21~22,

QURAN 51:52,

QURAN 3:164 NA QURAN 62:2.


Musa ameishi miaka 3000 ILIYOPITA.
UISLAMU umeanza JUZI 1500 ILIYOPITA

Sasa unatuambia Musa Alikuwa muislamu

UNAAKILI TIMAMU?????????????????
 
KWANZA KITABU CHENYEWE QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Back
Top Bottom