Wakristo na wale watalaam wa biblia, wanatheologia tunaomba ufafanuzi kwenye agano la kale

Wakristo na wale watalaam wa biblia, wanatheologia tunaomba ufafanuzi kwenye agano la kale

Mambo ya Walawi 23:3-8
[3]Mtafanya kazi siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, kusanyiko takatifu; msifanye kazi ya namna yo yote; ni Sabato kwa BWANA katika makao yenu yote.
Six days shall work be done: but the seventh day is the sabbath of rest, an holy convocation; ye shall do no work therein: it is the sabbath of the LORD in all your dwellings.
[4]Sikukuu za BWANA ni hizi, ni makusanyiko matakatifu, ambayo mtayapigia mbiu kwa nyakati zake.
These are the feasts of the LORD, even holy convocations, which ye shall proclaim in their seasons.
[5]Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni pasaka ya BWANA.
In the fourteenth day of the first month at even is the LORD'S passover.
[6]Na siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu kwa BWANA ya mkate usiotiwa chachu; mtaila mikate isiyochachwa muda wa siku saba.
And on the fifteenth day of the same month is the feast of unleavened bread unto the LORD: seven days ye must eat unleavened bread.
[7]Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yo yote ya utumishi.
In the first day ye shall have an holy convocation: ye shall do no servile work therein.
[8]Lakini mtasongeza sadaka kwa BWANA kwa njia ya moto siku saba; siku ya saba ni kusanyiko takatifu; msifanye kazi yo yote ya utumishi.
But ye shall offer an offering made by fire unto the LORD seven days: in the seventh day is an holy convocation: ye shall do no servile work therein.


Ukiangalia hapo mstari wa 5 anasema mwezi wa kwanza simu ya 14 ndio pasaka.Je,hiyo mwezi wa 4 ambayo ndio saivi tunasherehekea pasaka ilitoka wapi?
Tutafanya makusanyiko mpaka tuchoke
 
Bible sisi watu wa kawaida hatuwezi kuielewa kiundani kwa sababu vitabu vyenye majibu ya msingi viliondolewa.

Ukiconcentrate sana na bible utachanganyikiwa.

Hivi haujiulizi kwa nini kusomea Theolojia ni ngumu kiasi hiko?

Na mara nyingi huwa wanachukuliwa wale vipanga kabisa.

Imagine kusomea Upadre tu ni miaka 14, hapo bado haujapewa Uaskofu.
 
Bible sisi watu wa kawaida hatuwezi kuielewa kiundani kwa sababu vitabu vyenye majibu ya msingi viliondolewa.

Ukiconcentrate sana na bible utachanganyikiwa.

Hivi haujiulizi kwa nini kusomea Theolojia ni ngumu kiasi hiko?

Na mara nyingi huwa wanachukuliwa wale vipanga kabisa.

Imagine kusomea Upadre tu ni miaka 14, hapo bado haujapewa Uaskofu.
Mmh!kwahiyo unataka kumaanisha kwamba wakati mwingine wasio amini hizi dini wako sahihi na hawana hatia mbele ya mungu.
 
Agano la kale lime base kwa Israelites hasa vitabu vya kutoka,Mambo ya walawi,hesabu nk hivyo tunaviita kwa pamoja Torati
Humo ndani kuna Sheria,kanuni na miongozo waliopewa Jacob's brotherhood tu na si mataifa
Wengine
Hivyo Sheria zake na kanuni hazituhusu sisi wagalatia weusi na ndio maana tukapata New Testament ikiwa ni agano la Bwana Yesu Kristo
Kwa watu wote Ulimwenguni ila hivyo vitabu vinatumika kama reference kile Mungu alifanya nini hapo kale na sasa kwako atafanya nini kulingana na agano ulilopo!

Ukielewa huu mtiririko Bible code haitakupiga chenga wala hutaumiza kichwa chako kwa maswala ya Imani!
 
Agano la kale lime base kwa Israelites hasa vitabu vya kutoka,Mambo ya walawi,hesabu nk hivyo tunaviita kwa pamoja Torati
Humo ndani kuna Sheria,kanuni na miongozo waliopewa Jacob's brotherhood tu na si mataifa
Wengine
Hivyo Sheria zake na kanuni hazituhusu sisi wagalatia weusi na ndio maana tukapata New Testament ikiwa ni agano la Bwana Yesu Kristo
Kwa watu wote Ulimwenguni ila hivyo vitabu vinatumika kama reference kile Mungu alifanya nini hapo kale na sasa kwako atafanya nini kulingana na agano ulilopo!

Ukielewa huu mtiririko Bible code haitakupiga chenga wala hutaumiza kichwa chako kwa maswala ya Imani!
Kwahiyo sio lazima kufatiliza yale ya agano la kale.
 
Ukiangalia hapo mstari wa 5 anasema mwezi wa kwanza siku ya 14 ndio pasaka.Je,hiyo mwezi wa 4 ambayo ndio saivi tunasherehekea pasaka ilitoka wapi?

Katika kusoma kwako, umeweza kujua hayo maelekezo yote wanapewa watu gani?

Pasaka mnayosherekea sasa hivi ni sikukuu ya kubumba ambayo wanadamu wameitengeneza tu na wkaaiita Easter...
 
Ufuatize kivipi wakati wewe upo agano jingine!
Kule zipo reference tu kile Mungu alifanya kwa watu wale na wewe atafanya nini kwa wakati wako!
Unadanganya watu Mzee, unachanganya kati ya NE TESTAMENT NA OLD TESTAMENT

NA NEW COVENANT NA OLD COVENANT

Kwa kiswahili unatafsiri kama kitu kimoja ,

Paulo yuko wazi kabisa kuwa habari za kale ziliandikwa ili kutuonya sisi. Biblia yasema hivi:" Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani. (1Kor10:6). Tena Biblia yasema hivi:" Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya maandiko tupate kuwa na tumaini. (War15:4)

Hivyo basi hatuwezi kudai kuwa sheria ni za waisraeli pekee ama hiki ni cha waisraeli pekee maana ingetulazimu kumkataa pia Mungu au Yesu au Biblia, maana vyote walipewa waisraeli.
 
Mambo ya Walawi 23:3-8
[3]Mtafanya kazi siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, kusanyiko takatifu; msifanye kazi ya namna yo yote; ni Sabato kwa BWANA katika makao yenu yote.
Six days shall work be done: but the seventh day is the sabbath of rest, an holy convocation; ye shall do no work therein: it is the sabbath of the LORD in all your dwellings.
[4]Sikukuu za BWANA ni hizi, ni makusanyiko matakatifu, ambayo mtayapigia mbiu kwa nyakati zake.
These are the feasts of the LORD, even holy convocations, which ye shall proclaim in their seasons.
[5]Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni pasaka ya BWANA.
In the fourteenth day of the first month at even is the LORD'S passover.
[6]Na siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu kwa BWANA ya mkate usiotiwa chachu; mtaila mikate isiyochachwa muda wa siku saba.
And on the fifteenth day of the same month is the feast of unleavened bread unto the LORD: seven days ye must eat unleavened bread.
[7]Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yo yote ya utumishi.
In the first day ye shall have an holy convocation: ye shall do no servile work therein.
[8]Lakini mtasongeza sadaka kwa BWANA kwa njia ya moto siku saba; siku ya saba ni kusanyiko takatifu; msifanye kazi yo yote ya utumishi.
But ye shall offer an offering made by fire unto the LORD seven days: in the seventh day is an holy convocation: ye shall do no servile work therein.


Ukiangalia hapo mstari wa 5 anasema mwezi wa kwanza siku ya 14 ndio pasaka.Je,hiyo mwezi wa 4 ambayo ndio saivi tunasherehekea pasaka ilitoka wapi?
Jibu jepesi hapa ni kwamba kuna kalenda tofauti hapa unazungumzia. Kuna kalenda ya Kiyahudi na kalenda hii unayoizungumzia inaitwa Gregorian Calendar ambayo ndiyo tunaitumia sana sana.

Sasa, mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiyahudi ni Nissan ambao kwa Kalenda ya Gregorian huwa ni mwezi wa tatu au wa nne kutegemeana na mzunguko wa siku.
 
Mungu mwenyewe alikuja kuitengeneza torati ya Musa kupitia Kristo.

Kwa sasa tunakombolewa kwa damu hiyo iliyomwagika pale msalabani - bila hivyo dhambi ingetuangamiza na tusingesogea mbele za Mungu kwa namna yoyote ile.

Damu ya mwanakomdoo ndiyo pekee imetuungamisha sisi ya Mungu mwenye enzi yote.
 
Katika kusoma kwako, umeweza kujua hayo maelekezo yote wanapewa watu gani?

Pasaka mnayosherekea sasa hivi ni sikukuu ya kubumba ambayo wanadamu wameitengeneza tu na wkaaiita Easter...
Hapana imeandikwa kwenye biblia haijabumbwa.
 
Fqnyeni haya kwa ukumbusho wangu.
Kama ni pasaka, unaweza kufanyq kilq siku wiki au mwezi au robo.
 
Hapana imeandikwa kwenye biblia haijabumbwa.

Nachojaribu kukueleza kuwa Pasaka (sikukuu ya vibanda/mikate isiyochachushwa) sio Easter (wazungu waliyobuni kuwa ni kufufuka kwa Masihi)...

Pasaka imeanza kutajwa na Biblia kabla hata ya kuja kwa Masihi...
 
Unadanganya watu Mzee, unachanganya kati ya NE TESTAMENT NA OLD TESTAMENT

NA NEW COVENANT NA OLD COVENANT

Kwa kiswahili unatafsiri kama kitu kimoja ,

Paulo yuko wazi kabisa kuwa habari za kale ziliandikwa ili kutuonya sisi. Biblia yasema hivi:" Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani. (1Kor10:6). Tena Biblia yasema hivi:" Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya maandiko tupate kuwa na tumaini. (War15:4)

Hivyo basi hatuwezi kudai kuwa sheria ni za waisraeli pekee ama hiki ni cha waisraeli pekee maana ingetulazimu kumkataa pia Mungu au Yesu au Biblia, maana vyote walipewa waisraeli.
Nadanganya nini hapo?
Hivi unajua bible code kweli?
Paulo alitoa reference chache tu kama mfano wa kile unachopaswa kufanya kwenye agano jipya kwa kutumia mifano ya agano lililopita kumbuka agano la kale ni kivuli cha agano jipya
Kama kule kuhani mkuu alitoa kafara ya mnyama kwa ondoleo la dhambi mara Moja kwa Mwaka katika agano la kale katika agano jipya Yesu Kristo alijitoa kafara kwa ondoleo la dhambi milele,
Kama Mungu alimbarikia Abraham Baraka nyingi basi katika agano hili lililo bora zaidi ya lile la kwanza yaani kupitia Yesu Kristo utapata Baraka zaidi ya zile
Tatizo linakuja nyie mnadhani kila kilichofanywa agano la kale ni cha kubeba tu kwanza uelewe maana ya Agano (covenant)
Na ujue kutofautisha Mungu ilikuaje aingie maagano mawili Moja kwa ajili ya Israelites pekee na jingine kwa ajili ya mataifa hebu kasome Warumi na wagalatia yote ujifunze kuhesabiwa haki kwa Sheria (Torati)
Nakuhesabiwa haki kwa Neema (imani kwa Bwana Yesu Kristo)
Na misingi yake ndio uje tuendelee hapa!
 
Bible sisi watu wa kawaida hatuwezi kuielewa kiundani kwa sababu vitabu vyenye majibu ya msingi viliondolewa.

Ukiconcentrate sana na bible utachanganyikiwa.

Hivi haujiulizi kwa nini kusomea Theolojia ni ngumu kiasi hiko?

Na mara nyingi huwa wanachukuliwa wale vipanga kabisa.

Imagine kusomea Upadre tu ni miaka 14, hapo bado haujapewa Uaskofu.

mambo ya Mungu hayasomewi. Roho Mtakatifu hutufunulia yote, hata Yale ambayo ni mafumbo ya Mungu.

1WAKORINTHO 2:10.

sasa mtu kama Petro (mvuvi) alisomea wapi jiulize
 
Back
Top Bottom