Wakristo na wale watalaam wa biblia, wanatheologia tunaomba ufafanuzi kwenye agano la kale

Wakristo na wale watalaam wa biblia, wanatheologia tunaomba ufafanuzi kwenye agano la kale

Ufuatize kivipi wakati wewe upo agano jingine!
Kule zipo reference tu kile Mungu alifanya kwa watu wale na wewe atafanya nini kwa wakati wako!
Ww gegeda tu na divai dhambi zishabebwa na yesùmaswali ya nn ww kama vile unaenda kwenye msosi wa msiba wa tajir kijijini kila kitu kishalipiwa
 
Ww gegeda tu na divai dhambi zishabebwa na yesùmaswali ya nn ww kama vile unaenda kwenye msosi wa msiba wa tajir kijijini kila kitu kishalipiwa
Aina hii ya Wanadamu Wana mchango mdogo sana katika ufalme wa Mungu!
😁😁
 
Back
Top Bottom