Wakristo, tena nyie Roman mbona padri akipanda madhabahuni anakuwa hajavaa viatu?

Wakristo, tena nyie Roman mbona padri akipanda madhabahuni anakuwa hajavaa viatu?

Ni baadhi ya Mashirika tu ya Mapadre ndiyo huwa yana utaratibu huo na sio formality ya kanisa Catholic kuwa Padre akiwa kwenye adhimisho la Misa Takatifu lazima awe peku.

Pia kwa kukufahamisha tu ni kuwa hilo Shirika wana utaratibu wa kutembea peku sehemu zote wakiwa wanatembea na sio pindi wanapopanda Altareni pekee.
 
87f66776-3f1e-4190-ab75-64569933174d.jpg
 
Naomba jibu... waumini wa Roma....
Padri wenu havai viatu nyie mnaingia na viatu kanisani.

Mnajifanyaga mko na akili sana...
I love 💕 Allah and his beloved prohet soooo muuuchh 😘❤️💘💕. Allah and prophet Muhammad are so Hot. Am in love. Islam is the best religion.

Allah and prophet Muhammad are hot and sweet.

Plenty of countless kesses to Allah and prophet Muhammad mwaaah mwaah 😘😘💕 mwaaah 😘
 
Ni baadhi ya Mashirika tu ya Mapadre ndiyo huwa yana utaratibu huo na sio formality ya kanisa Catholic kuwa Padre akiwa kwenye adhimisho la Misa Takatifu lazima awe peku.
Pia kwa kukufahamisha tu ni kuwa hilo Shirika wana utaratibu wa kutembea peku sehemu zote wakiwa wanatembea na sio pindi wanapopanda Altareni pekee.
Wafransisko wakapuchin hao,mapadre wa mashirika mengine wanavaa viatu mbona 🤔
 
Jamaa anajitahidi kila baada ya dakika 5 anaandika uzi kuhusu Wakristo na Ukristo. Naona Answary kala Pilau la Iddi sasa anatafuta wa kupumzikia ili baadaye agonge tena ubweche.
Atashushua na mbuzi katoliki makange, ndizi 2 na Safari lager 4.
 
hoja zingine za kitoto kama vile zimeandikwa na mtoto wa chekechea mwaka wa kwanza
 
Nimetumikia sana katoliki nikiwa mdogo - ministrant. Mpaka viatu tulikuwa tunawabrashia mapadiri ili wavae vikiwa safi wakiongoza ibada
 
Nimetumikia sana katoliki nikiwa mdogo - ministrant. Mpaka viatu tulikuwa tunawabrashia mapadiri ili wavae vikiwa safi wakiongoza ibada

Kaongea kwa kuona matukio asiyoyajua maana yake

kuna taratibu za patakatifu na patakatifu-pa-patakatifu kadri ya Mungu anavyotenda
 
Back
Top Bottom