Kwa jina la Yesu × 100. Kwa damu ya Yesu× 100, Nakataa, navunja kila aina ya uonevu. × 100 raparakashaaaaaa, horooooshiba sakorabokoo shakantilal nakataa kuonewa rapa shakaraaaaraaata. kwa damu ya mwana kondoo nakataaa.
Eperiiya shakatabaka, iperrerebiya , kwa jina la Yesu🙂🙂 Jina la Yesu! Mara mia ngapi? Ni fuel ya kuweka kwenye gari uipimie kipimo kinachotosha.
Nawasihi hata ndugu zetu wa imani zingine BAKI HUKO ULIPO. Ukristo umekuwa imani ya utapeli na upumbavu mtupu. Watu wamegeza ukristo kuwa dili ya kupiga pesa. Amkeni enyi watu. Mungu ni baba wa wote. Wakataeni hawa matapeli ambao sasa wamepata maficho ya kutapeli taifa letu na hakuna anayewagusa.
Eperiiya shakatabaka, iperrerebiya , kwa jina la Yesu🙂🙂 Jina la Yesu! Mara mia ngapi? Ni fuel ya kuweka kwenye gari uipimie kipimo kinachotosha.
Nawasihi hata ndugu zetu wa imani zingine BAKI HUKO ULIPO. Ukristo umekuwa imani ya utapeli na upumbavu mtupu. Watu wamegeza ukristo kuwa dili ya kupiga pesa. Amkeni enyi watu. Mungu ni baba wa wote. Wakataeni hawa matapeli ambao sasa wamepata maficho ya kutapeli taifa letu na hakuna anayewagusa.