Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Nasema Kwa dhati ya moyoni ndugu zetu ni wakarimu sana kutuzidi.
Mimi ni Mkiristo lakini nitumie fursa hii kuwapongeza sana Waislamu walio kwenye mfungo Kwa kuonyesha ushirikiano mkubwa baina Yao na wengineo wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan.
Kwao utapata futari bila kujali Imani yako au kuulizwa unakotokea tena bila manyanyaso au kuulizwa mwaliko
Ukweli wanatimiza amri ya upendo kikamilifu kama ilivyoagizwa kwenye Vitabu vitukufu
Ndugu zangu wakiristo tunamengi ya kujifunza kutoka kwa ndugu zetu Waislamu
Nasema Kwa dhati ya moyoni ndugu zetu ni wakarimu sana kutuzidi.
Mimi ni Mkiristo lakini nitumie fursa hii kuwapongeza sana Waislamu walio kwenye mfungo Kwa kuonyesha ushirikiano mkubwa baina Yao na wengineo wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadan.
Kwao utapata futari bila kujali Imani yako au kuulizwa unakotokea tena bila manyanyaso au kuulizwa mwaliko
Ukweli wanatimiza amri ya upendo kikamilifu kama ilivyoagizwa kwenye Vitabu vitukufu
Ndugu zangu wakiristo tunamengi ya kujifunza kutoka kwa ndugu zetu Waislamu