GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama huyu Yesu Kristo ambaye tunamsheherekea Kesho ( Krismasi ) alizaliwa Kimasikini Zizini ( Kraal ) ila bado akakubali Kufa kwa ajili yetu, anatuombea 24/7 na ni Mnyenyekevu asiye na Majivuno pia ni kwanini Sisi Wakristo akina GENTAMYCINE tumekuwa ni Watu wa Viburi, Jeuri, Nyodo, Maringo, Ubaguzi, Uchoyo, Kashfa na Roho Mbaya?
Tafadhali tulitafakari hili kwa Kina, tuombe Toba ya Kweli, tusameheane, tujisahihishe na Krismasi hii ya Kesho iwe ni Chachu Kwetu kubadilika Kitabia na Kimwenendo ili tumuishi Yesu Kristo kwa Matendo yake mema Kwetu na siyo maneno yetu matupu na Unafiki uliotukomaa hadi Akilini mwetu.
Naomba GENTAMYCINE niwe wa Kwanza kuwatakieni JamiiForums Members Wote Merry Christmas and Happy New Year. Mwenyezi Mungu atubariki Sote na tuendelee kuwa Great Thinkers hasa ambao tutakuwa Msaada mkubwa kwa Maendeleo ya Tanzania yetu na Rwanda yangu.
Mtakaoalikwa na Members Kesho kula Krismasi tafadhali ukifika muda wa Chakula usianze Kujipakulia bali subiria upakuliwe kwani hujaalikwa hapo peke yako na kama ni Kushiba utaenda Kushiba Kwako baadae kwa Kiporo chako ulichokiacha.
Tafadhali tulitafakari hili kwa Kina, tuombe Toba ya Kweli, tusameheane, tujisahihishe na Krismasi hii ya Kesho iwe ni Chachu Kwetu kubadilika Kitabia na Kimwenendo ili tumuishi Yesu Kristo kwa Matendo yake mema Kwetu na siyo maneno yetu matupu na Unafiki uliotukomaa hadi Akilini mwetu.
Naomba GENTAMYCINE niwe wa Kwanza kuwatakieni JamiiForums Members Wote Merry Christmas and Happy New Year. Mwenyezi Mungu atubariki Sote na tuendelee kuwa Great Thinkers hasa ambao tutakuwa Msaada mkubwa kwa Maendeleo ya Tanzania yetu na Rwanda yangu.
Mtakaoalikwa na Members Kesho kula Krismasi tafadhali ukifika muda wa Chakula usianze Kujipakulia bali subiria upakuliwe kwani hujaalikwa hapo peke yako na kama ni Kushiba utaenda Kushiba Kwako baadae kwa Kiporo chako ulichokiacha.