Wakristo wanaoishabikia Israel wametekwa nyara

Wakristo wanaoishabikia Israel wametekwa nyara

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kipindi chote ambapo Marekani imekuwa taifa kubwa ushawishi wa wayahudi nchini humo umekuwa mkubwa. Ushawishi wa Marekani nao kutoka na nguvu za kiuchumi umeweza kudhibiti hata mawazo na tamaduni za nchi changa na zile zinazoendelea.

Madhehebu za dini ya kikristo zilizo katika nchi ya Marekani ambazo kwa kiasi kikubwa zimeingiliwa na mafunzo ya kiyahudi ndizo ambazo zimeweza kupenya kwenye nchi hizo changa nyingi zikiwa za kiafrika.

Tanzania ikiwa ni moja ya nchi za kiafrika nayo ina wakristo ambao akili zao zimetekwa nyara na fikra za kiyahudi kiasi kwamba wakristo hao huwa wanawaunga mkono Israel kwa kiasi kikubwa kila inapofanya unyama wake wa mauwaji na uporaji wa ardhi kule Palestina.

Ukweli ni kuwa wayahudi wanapokuwa Jerusalem alikozaliwa Yesu (nabii Issa A.s) huwa wanawabamiza wote sawa kwa sawa. Ukandamizaji huo umesababisha kutoweka kwa wakristo kwa kiasi kikubwa.Inapofika siku za krismas wakristo wa Palestina wanalalamika kutokuwa na watu kusherehekea ibada hiyo.

Waliobaki na nguvu ya kujitetea dhidi ya dhulma hizo ni waislamu zaidi .Inashangaza wakristo wasiojielewa huwa wanajiona na wao kama ni wayahudi na kuwa upande wa Israel.

Wakristo wengi wanaoungana na waislamu kuipinga Israel na kutetea maeneo yao wako nchi za Ulaya
 
Wengi wasichokijua ni kuwa kwenye hiyo nchi 73%ni Jewish alafu 18% waislam na 1.9% ndo wakristo na% ndini zingine na wasio na dini.

Hawa jamaa kwa imani yao kwa wanavyomchukulia Yesu dhana mbaya kuliko hata Waislam.

Ila mtu anaweka hadi bendera ya Israel kwenye nyumba,makanisani, magari n.k

Napenda mtu aongelee ki uhalisia kuwa Hamas ndo walichokoza ila sio anauingiza u kristo sehem hata hausiki .
Israeli ya biblia sio hii ya hapo mashariki ya kati walopewa 1948
 
Kipindi chote ambapo Marekani imekuwa taifa kubwa ushawishi wa wayahudi nchini humo umekuwa mkubwa.Ushawishi wa Marekani nao kutoka na nguvu za kiuchumi umeweza kudhibiti hata mawazo na tamaduni za nchi changa na zile zinazoendelea.
Madhehebu za dini ya kikristo zilizo katika nchi ya Marekani ambazo kwa kiasi kikubwa zimeingiliwa na mafunzo ya kiyahudi ndizo ambazo zimeweza kupenya kwenye nchi hizo changa nyingi zikiwa za kiafrika.
Tanzania ikiwa ni moja ya nchi za kiafrika nayo ina wakristo ambao akili zao zimetekwa nyara na fikra za kiyahudi kiasi kwamba wakristo hao huwa wanawaunga mkono Israel kwa kiasi kikubwa kila inapofanya unyama wake wa mauwaji na uporaji wa ardhi kule Palestina.
Ukweli ni kuwa wayahudi wanapokuwa Jerusalem alikozaliwa Yesu (nabii Issa A.s) huwa wanawabamiza wote sawa kwa sawa.Ukandamizaji huo umesababisha kutoweka kwa wakristo kwa kiasi kikubwa.Inapofika siku za krismas wakristo wa Palestina wanalalamika kutokuwa na watu kusherehekea ibada hiyo.Waliobaki na nguvu ya kujitetea dhidi ya dhulma hizo ni waislamu zaidi .Inashangaza wakristo wasiojielewa huwa wanajiona na wao kama ni wayahudi na kuwa upande wa Israel.
Wakristo wengi wanaoungana na waislamu kuipinga Israel na kutetea maeneo yao wako nchi za Ulaya
Andiko la uchongishi wenye ugombanishi.Usiwachagulie wa kuwashangilia hata kama ni jini.
 
Kipindi chote ambapo Marekani imekuwa taifa kubwa ushawishi wa wayahudi nchini humo umekuwa mkubwa. Ushawishi wa Marekani nao kutoka na nguvu za kiuchumi umeweza kudhibiti hata mawazo na tamaduni za nchi changa na zile zinazoendelea.

Madhehebu za dini ya kikristo zilizo katika nchi ya Marekani ambazo kwa kiasi kikubwa zimeingiliwa na mafunzo ya kiyahudi ndizo ambazo zimeweza kupenya kwenye nchi hizo changa nyingi zikiwa za kiafrika.

Tanzania ikiwa ni moja ya nchi za kiafrika nayo ina wakristo ambao akili zao zimetekwa nyara na fikra za kiyahudi kiasi kwamba wakristo hao huwa wanawaunga mkono Israel kwa kiasi kikubwa kila inapofanya unyama wake wa mauwaji na uporaji wa ardhi kule Palestina.

Ukweli ni kuwa wayahudi wanapokuwa Jerusalem alikozaliwa Yesu (nabii Issa A.s) huwa wanawabamiza wote sawa kwa sawa. Ukandamizaji huo umesababisha kutoweka kwa wakristo kwa kiasi kikubwa.Inapofika siku za krismas wakristo wa Palestina wanalalamika kutokuwa na watu kusherehekea ibada hiyo.

Waliobaki na nguvu ya kujitetea dhidi ya dhulma hizo ni waislamu zaidi .Inashangaza wakristo wasiojielewa huwa wanajiona na wao kama ni wayahudi na kuwa upande wa Israel.

Wakristo wengi wanaoungana na waislamu kuipinga Israel na kutetea maeneo yao wako nchi za Ulaya
Mkuu nikusaidie tu kua Yesu sio Issa.
Na pia huwezi kuitenganisha imani ya kikrsto na kiyahudi.Sababu ukristo umezaliwa ndani ya uyahudi
NB:MUNGU WA WAYAHUDI NA WAKRSTO ANAITWA ADONAI NA ANA MTOTO ANAITWA MASIHI AU EMANUEL AU YESU NA SIO ISSA.
MUNGU WA WAISLAMU NA WAARABU AITWAYE ALLAH NDIO ANAYE ISSA WAKE WA KIARABU YUPO TOFAUTI KABISA NA YESU
 
Wengi wasichokijua ni kuwa kwenye hiyo nchi 73%ni Jewish alafu 18% waislam na 1.9% ndo wakristo na% ndini zingine na wasio na dini.

Hawa jamaa kwa imani yao kwa wanavyomchukulia Yesu dhana mbaya kuliko hata Waislam.

Ila mtu anaweka hadi bendera ya Israel kwenye nyumba,makanisani, magari n.k

Napenda mtu aongelee ki uhalisia kuwa Hamas ndo walichokoza ila sio anauingiza u kristo sehem hata hausiki .
Israeli ya biblia sio hii ya hapo mashariki ya kati walopewa 1948
Tunachojua ni kwamba ukristo wetu umetokana na hawa wayahudi maana ili maandiko yatimie kama ilivyotabiriwa ilibidi hawa hawa wayahudi mnaoona kwamba ni mashetani wamsaliti Yesu ili Mataifa mengine yapate injili.

Ilikuwa ni lazima wayahudi wamsaliti Yesu na siyo hiari, kwa hiyo bado tunatakiwa tuwaheshimu na kuwaunga mkono kwa sababu hata Mungu mwenyewe hajawatupa.

I stand with Israel 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
 
Tunachojua ni kwamba ukristo wetu umetokana na hawa wayahudi maana ili maandiko yatimie kama ilivyotabiriwa ilibidi hawa hawa wayahudi mnaoona kwamba ni mashetani wamsaliti Yesu ili Mataifa mengine yapate injili.

Ilikuwa ni lazima wayahudi wamsaliti Yesu na siyo hiari, kwa hiyo bado tunatakiwa tuwaheshimu na kuwaunga mkono kwa sababu hata Mungu mwenyewe hajawatupa.

I stand with Israel 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
Ndugu Tumia basi hata robo ya Akili ulopewa.

Daaah Hivi Wafrika tuna feli wapi jamani.

Eti hata Mungu hajwatupa.
Ni kiasi gani Mungu wako ana upendeleo mkubwa, yaaan ateuwe taifa moja limuasi haswa ka kila chafu ila bado liitwe taifa la Mungu .

Alafu wengine waonekanae wapuuzi.
 
Tunachojua ni kwamba ukristo wetu umetokana na hawa wayahudi maana ili maandiko yatimie kama ilivyotabiriwa ilibidi hawa hawa wayahudi mnaoona kwamba ni mashetani wamsaliti Yesu ili Mataifa mengine yapate injili.

Ilikuwa ni lazima wayahudi wamsaliti Yesu na siyo hiari, kwa hiyo bado tunatakiwa tuwaheshimu na kuwaunga mkono kwa sababu hata Mungu mwenyewe hajawatupa.

I stand with Israel 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱
Sasa Mungu huyo anapa faida gani watu wakipigana na kuuwana.

Si anajua kila jambo na lijalo
Kwanini sasa ameumbwa watu ambao wapigane eti kisa injili itimie

Kwahiyo faida yake ni kuumba watu wapigane wafee( upendo wake uko wapi hapa ) Yasome nje ya boksi
 
ili maandiko yatimie kama ilivyotabiriwa ilibidi hawa hawa wayahudi mnaoona kwamba ni mashetani wamsaliti Yesu ili Mataifa mengine yapate injili.
Sio kweli injili ingefika tu mbona kabla ya Yesu kuna kina Nabii Obadiah hawakuwa wayahudi ila walikua wana interact na Mungu wa wayahudi? Na akawa nabii kabisa? Same to wakati wa Nuhu mbona Yesu alikuwepo na alihubiri sambamba na Nuhu? Kwani Nuhu alikua myahudi?
 
Sio kweli injili ingefika tu mbona kabla ya Yesu kuna kina Nabii Obadiah hawakuwa wayahudi ila walikua wana interact na Mungu wa wayahudi? Na akawa nabii kabisa? Same to wakati wa Nuhu mbona Yesu alikuwepo na alihubiri sambamba na Nuhu? Kwani Nuhu alikua myahudi?
Manabii wa zamani walikuwa kwa ajili ya waisraeli tu ila Kristo baada ya kufa na kufufuka alikuwa kwa ajili ya mataifa yote
 
Manabii wa zamani walikuwa kwa ajili ya waisraeli tu ila Kristo baada ya kufa na kufufuka alikuwa kwa ajili ya mataifa yote
Nimetoa mfano mbona Yesu alihubiri pamoja na Nuhu kabla ya gharika? Kwani alikua anahubiria wayahudi wale?
 
Embu onyesha mahali ambapo kabila la Dani lilitupwa
4 Nikasikia hesabu yao waliotiwa muhuri katika kila kabila ya Waisraeli, watu mia na arobaini na nne elfu.
Ufunuo wa Yohana 7:4

5 Wa kabila ya Yuda kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Reubeni kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Gadi kumi na mbili elfu.
Ufunuo wa Yohana 7:5

6 Wa kabila ya Asheri kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Naftali kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Manase kumi na mbili elfu.
Ufunuo wa Yohana 7:6

7 Wa kabila ya Simeoni kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Lawi kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Isakari kumi na mbili elfu.
Ufunuo wa Yohana 7:7

8 Wa kabila ya Zabuloni kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Yusufu kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Benyamini kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri.
Ufunuo wa Yohana 7:8
 
4 Nikasikia hesabu yao waliotiwa muhuri katika kila kabila ya Waisraeli, watu mia na arobaini na nne elfu.
Ufunuo wa Yohana 7:4

5 Wa kabila ya Yuda kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Reubeni kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Gadi kumi na mbili elfu.
Ufunuo wa Yohana 7:5

6 Wa kabila ya Asheri kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Naftali kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Manase kumi na mbili elfu.
Ufunuo wa Yohana 7:6

7 Wa kabila ya Simeoni kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Lawi kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Isakari kumi na mbili elfu.
Ufunuo wa Yohana 7:7

8 Wa kabila ya Zabuloni kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Yusufu kumi na mbili elfu. Wa kabila ya Benyamini kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri.
Ufunuo wa Yohana 7:8
Kwa hiyo kabila la Dani ndilo wana wa Israel?
 
Kwa hiyo kabila la Dani ndilo wana wa Israel?
Imekuwaje kuwaje mpaka kuna dhehebu la sabato katika Ukristo.Mambo ya sabato ni ya kiyahudi.Zamani wakati wa Nyerere tulijua ukristo ni katoliki tu.Sasa wasabato na makanisa yao yenye majina ya watu wadogo wadogo ndiyo yamejaa.
 
Back
Top Bottom