binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
😅😅😅😅😅 Wakristo tunashindwa hata na walevi, wakimaliza kulewa wanabebana kwenye gari wanasambazana makwao.Huku south africa jamii nyingi za kiislam wanatoa misosi bure almaarufu wanaitwa maulana,,, ukienda msikitini siku ya ijumaa nje mateja kibao wanaomba msaada na wasio mateja wanapewa kuanzia nguo, hela, vyakula nk. Sasa nenda kanisani kasimame nje usuburi watoke uombe msaada kama hujachezea shaya na wakosa huku western cape 😀
Ni mkiristo kabla yako,akitumia Hilo neno kabla yakoNimekuambia ni wakristo sio wakiristo sasa nyerere anahusika na nini au ni nani hasa kwenye ukristo?
Kwanini waislamu wa Afrika kaskazini wanavuka bahari kwa mtumbwi kuingia Italy na Spain kwa makafiri na wasiende Saudi Arabia wakale bure?Makanisani wakristo wengi wakishatoa sadaka kanisani ndio shughuli imeishia hapo. Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini lakini kuna waumini wana changamoto zinazoweza kutatulika kwa milioni 10 ila wanaombewa badala ya kusaidiwa
Licha ya kwamba waislamu wengi ni maskini ukilinganisha na wakristo, Nimegundua waislamu hawatoi sana sadaka misikitini lakini huwa wanasaidia sana huku nje.
Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima.
Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti, kanisa waweza kukuta lina mabomba ya kutosha ila ni kwajili ya matumizi ya kikanisa tu.
Mwezi wa Ramadhani ule mwezi mzima ni kawaida sana kuwakuta waislam wanasaidia vyakula watu wenye shida.
Waumini wana magonjwa ambayo yanatibika kwa milioni 10 lakini wachungaji wenye account zinazosoma Bilioni wapo kujifanya wanawaombea, Kweli? Haya kama sio maombi ya kinafki tuyaitaje?
Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
Wakristo inatokana na neno kristo acha chuki zisizo na maanaNi mkiristo kabla yako,akitumia Hilo neno kabla yako
Ulishawahi waona huko hospitalini au umehadithiwa?Sasa hao hao Answar wanaenda mahospitalini na kutoa misaada ya vyakula na nguo bure
Kwangu mimi sadaka hiyo ina sauti kubwa kuliko sadaka ya Kinafiki
Kama ningekuwa Muislam ningekuwa Answar
mpaka jinsia utahama.Kuna watu makini sana JF, nakupa 5 ya nguvu. Ukristu ni upigaji, nilihama huko baada ya kuwa na mashaka na "ufufuko ". Mungu wa kweli anaweza kumtoa mwanae kafara kweli?
Taja watu 10 wanaoaminika ndio wanaongoza kwa utajiri tz then tuangalie dini zaoitaje upingwe kwa hoja
Acha uongo wewe, waislam wanatoa sana kuliko wakristo mfano watu wametoa huko juu kwenye huduma za majihizi aibu ndogo ndogo za kutotoa sadaka msizitafutie kisingizio.
mkristo yeyote wa RC,KKKT,SDA,nk anatoa sadaka kwa ajiri ya kukuza huduma za kiroho,kuhusu kusaidia masikini na wasiojiweza bado hakuna muislam anayeweza msogelea mkristo,tofauti yao ni kwamba muislam hutoa ahakikishe jirani yake kajua wakrsto hawako hivyo.
maji hutolewa awali kwa ajili ya msikiti ili waislam wanawe wakiwa wanaingia msikitini.Acha uongo wewe, waislam wanatoa sana kuliko wakristo mfano watu wametoa huko juu kwenye huduma za maji
😅😅😅😅😅 Wakristo tunashindwa hata na walevi, wakimaliza kulewa wanabebana kwenye gari wanasambazana makwao.
Wakati sisi wakristo tukimaliza ibada wale wasio na magari hata lift hatuwapi, hata kama tunaishi mitaa inayofuatana line.
Jokes jokes msinisasambue wana kristo 😂
unaweza kufafanua hili plz?Linapokuja suala la haki lazima kuwe na mirengo mikali sana Mkuu. Usishangae
ndio maana kuna namba kubwa ya wakristo walio na maisha mazuri kuliko huko kwingine.Ukristo una ubinafsi sana. Ubepari wa kiwango cha juu
Tajiri namba moja tz ni dini gani?ndio maana kuna namba kubwa ya wakristo walio na maisha mazuri kuliko huko kwingine.
angalia maisha ya mamwinyi mikoa yote ilikopita hiyo dini,kunanuka shida.
tunaagizwa kusaidia watu ila sio kuwafanya wabweteke.
Tutafute hela gani banaa, Kanisani uchwara mwingi waumini wanafundishwa kulijali kanisa kwa mapato yao lakini kanisa halina msaada kwa waumini wakati wa shida.mkuu tafuta pesa,usaidie watu kama ni rahisi namna hiyo.
wanaolipiwa ada wapo pia,ila sio kanisa ni mtu mmoja mmoja ndani ya kanisa.
1-10 -20-50 wote ni waislam.Tajiri namba moja tz ni dini gani?
Sawa1-10 -20-50 wote ni waislam.
ila sasa.
hawashindi msikitini,
hawakushinda madrasa.
mkuu hela inahitajika popote,hata huku nje ya kanisa,kama huna hela utachezea za uso sana.Tutafute hela gani banaa, Kanisani uchwara mwingi waumini wanafundishwa kulijali kanisa kwa mapato yao lakini kanisa halina msaada kwa waumini wakati wa shida.
Nimechagua kutafuta pesa ndiyo ila nizikyle peke yangu na ulimwengu sio kupelekea wale wanafiki.
Nilichogundua hata wanaotoa saana huko hufanyaa kujijengea brand na kutafuta sifa ila ukimfata privately hana msada na wewe atakurefer kwa uongozi wakuombee🚮
Umewahi kuona waislam wanatoa kiasi gani?Makanisani wakristo wengi wakishatoa sadaka kanisani ndio shughuli imeishia hapo. Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini lakini kuna waumini wana changamoto zinazoweza kutatulika kwa milioni 10 ila wanaombewa badala ya kusaidiwa
Licha ya kwamba waislamu wengi ni maskini ukilinganisha na wakristo, Nimegundua waislamu hawatoi sana sadaka misikitini lakini huwa wanasaidia sana huku nje.
Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima, kanisa waweza kukuta lina mabomba ya kutosha ila ni kwajili ya matumizi ya kikanisa tu.
Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti,
Mwezi wa Ramadhani ule mwezi mzima ni kawaida sana kuwakuta waislam wanasaidia vyakula watu wenye shida.
Waumini wana magonjwa ambayo yanatibika kwa milioni 10 lakini wachungaji wenye account zinazosoma Bilioni wapo kujifanya wanawaombea, Kweli? Haya kama sio maombi ya kinafki tuyaitaje?
Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.