ni mpaka utoe ada sio bure, ni miradi ya faida.Wakristo utoaji unaonekana wazi Tena mkubwa kaangalie shule zilijengwa na wakristo kuanzia chekechea ,msingi Hadi sekondari na Hadi vyuo vikuu ili.kuondolea waumini ujinga na kuwapa elimu ya uhakika shule
hapana makanisa yanajengwa kila siku.Twende mbele turud nyuma ukristo unazidi kua Kinyaa kadri siku zinavoenda hakuna dhehebu lililobaki salama kote ni takataka tu, labda kama wewe ni kipofu wa imani au kuna namna unanufaika.
Hawazijui hata dini vilivyo1-10 -20-50 wote ni waislam.
ila sasa.
hawashindi msikitini,
hawakushinda madrasa.
mkuu kuna mashirika ya misaada yapo chini ya makanisa.ni mpaka utoe ada sio bure, ni miradi ya faida.
tena shule hizo huwa ni gharama mno, hata vyuo huwa ni gharama sana kuzidi vya serikali.
BIASHARA !
Kuna statistics za ku-prove hii hoja??Licha ya kwamba waislamu wengi ni maskini ukilinganisha na wakristo
Alipopata mtu msaada ndipo hupeleka sifa, atakuja mwingine kusifia makanisa maana kuna vyuo kadhaa vikuu vya kikristo na alisoma kwenye vyuo hivyo. Mwingine atasifu wakristo kwa utoaji wao wa kuwekeza kwenye huduma za jamii maana alitibiwa hospital ya rufaa ya kanisa..Makanisani wakristo wengi wakishatoa sadaka kanisani ndio shughuli imeishia hapo. Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini lakini kuna waumini wana changamoto zinazoweza kutatulika kwa milioni 10 ila wanaombewa badala ya kusaidiwa, ni kweli makanisa yanajenga shule mpaka huko vijijini ila sihesabii kama msaada maana ni miradi ya kifaida, shule za kiristo ni kawaida sana kukuta ada ni milioni 3, vyuo navyo vipo vingi ni gharama kuzidi vya serikali.
Licha ya kwamba waislamu wengi ni maskini ukilinganisha na wakristo, Nimegundua waislamu hawatoi sana sadaka misikitini lakini huwa wanasaidia sana huku nje.
Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima, kanisa waweza kukuta lina mabomba ya kutosha ila ni kwajili ya matumizi ya kikanisa tu.
Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti,
Mwezi wa Ramadhani ule mwezi mzima ni kawaida sana kuwakuta waislam wanasaidia vyakula watu wenye shida.
Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
Moyo wa kutoa hauhusiani na dini ya mtu, hapo tusidanganyane.Makanisani wakristo wengi wakishatoa sadaka kanisani ndio shughuli imeishia hapo. Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini lakini kuna waumini wana changamoto zinazoweza kutatulika kwa milioni 10 ila wanaombewa badala ya kusaidiwa, ni kweli makanisa yanajenga shule mpaka huko vijijini ila sihesabii kama msaada maana ni miradi ya kifaida, shule za kiristo ni kawaida sana kukuta ada ni milioni 3, vyuo navyo vipo vingi ni gharama kuzidi vya serikali.
Licha ya kwamba waislamu wengi ni maskini ukilinganisha na wakristo, Nimegundua waislamu hawatoi sana sadaka misikitini lakini huwa wanasaidia sana huku nje.
Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima, kanisa waweza kukuta lina mabomba ya kutosha ila ni kwajili ya matumizi ya kikanisa tu.
Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti,
Mwezi wa Ramadhani ule mwezi mzima ni kawaida sana kuwakuta waislam wanasaidia vyakula watu wenye shida.
Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
Ni mchungaji wa kanisa gani huyo ambaye accout yake moja tu inasoma BILLION 8??????Mtu unaeweza kumsaidi ni heri umsaidie tu,
Mchungaji account yake moja tu inasoma bilioni 8 anashindwaje kumsaidia mtu ambae ugonjwa wake unatibika hospitalini kwa milioni 1, yanakuwa maombi ya kinafki sana hayo,
Sasa hapo chuki Iko wapi,we mpumbavu nini!?..kamsikilize Nyerere akiongea na wazee wa dar anaposema mkiristu alikua yeye na Mara moja moja bomani wengine wote walikua waislam enzi za kusaka uhuru,kiswahili neno sharti liwe na irabuWakristo inatokana na neno kristo acha chuki zisizo na maana
Ni ibada za kumwabudu shetani na mtu akila tu anakuwa amejiunganisha na madhabahu za shetanikitu ambacho siwezi kuruhusu familia yangu itumie ni hizi nyama za kugawiwa BURE kutoka misikitini.
Nyama za Kafara
Nchi zenye wakristo wengi mfano US na za ulaya na nchi zisizo za kikristo ni zipi zinatoa misaada mingi duniani?Ukristo una ubinafsi sana. Ubepari wa kiwango cha juu
Ni serikali huwa zinatoa misaada sio taasisi za kidini, pia nikujuze kwamba wakristo wengi hizo nchi huenda kanisani mara mbili tu mwaka mzima kwenye pasaka na christmas wakiwemo maraisNchi zenye wakristo wengi mfano US na za ulaya na nchi zisizo za kikristo ni zipi zinatoa misaada mingi duniani?
Ni heri apelekwe India alipiwe matibabu yote mwishowe afariko au aombewe kwa jina la yesu apone, nikufungue kidogo ndgu yangu ni i...dunia ya leo magonjwa mengi ni ya kutengeneza kiuchawi ndio maana hayo yakiombewa yanapona ila magonjwa ya kweli kabisa by nature hayo ndio machache na ndio yanahitaji matibabu ya hospital, ko tuwe tunatofautisha hayo mambo mawili ukikosea mlango wa kutokea unakwisha habari yako! nb:- hakuna mchungaji anaeweza kuponya ugonjwa wowote wa asili! Ndio maana Kuna wenye visukari, ukimwi, kila akiombewa haponi tatzo sio Imani tatizo ni mlango wa kutatua changamoto yake sio huo!Mtu unaeweza kumsaidi ni heri umsaidie tu,
Mchungaji account yake moja tu inasoma bilioni 8 anashindwaje kumsaidia mtu ambae ugonjwa wake unatibika hospitalini kwa milioni 1, yanakuwa maombi ya kinafki sana hayo,
Hata Yesu atakuwa anapiga block hayo maombi ndio maana wengi wanakodisha waigizaji wa kuruka ruka
sasa ulitaka zitoe elimu bure? yaan kuzaa azae mwingine halafu kusomesha liwe jukumu la mwingine? ndo maana waafrika kiwango cha kutokujibika ni kikubwa sana maana watu wanapenda sana vya bure hawataki kujishuglisha na ndo maana hata kila mwaka bajeti ya serikali lazima ukute kuna wahisani kuchangia huduma za afya, elimu mpaka ujenzi vya vyoo kwa hisani wa watu wa marekani vyandarua kwa hisani ya watu wa marekanini mpaka utoe ada sio bure, ni miradi ya faida.
tena shule hizo huwa ni gharama mno, hata vyuo huwa ni gharama sana kuzidi vya serikali.
BIASHARA !
Acha kupotosha hapa nikupe mfano tu germany ni sheria kwa mkristo kutoa sadaka ambayo inaingia serikalini na ndo hi misaada inayokuja afrika.Ni serikali huwa zinatoa misaada sio taasisi za kidini, pia nikujuze kwamba wakristo wengi hizo nchi huenda kanisani mara mbili tu mwaka mzima kwenye pasaka na christmas wakiwemo marais
Ujerumani hio inaitwa church tax kwa lugha yao wanaiita Kirchensteuer , serikali ikishakusanya inaingiza kwenye account za makanisa kwajili ya matumizi ya makanisa, labda lugha inakupiga chenga ukadhani kwamba ikiingia serikalini inatumika na serikali, No ! haipo hivyo.Acha kupotosha hapa nikupe mfano tu germany ni sheria kwa mkristo kutoa sadaka ambayo inaingia serikalini na ndo hi misaada inayokuja afrika.
Kwa taarifa yako US kuna multinationals nyingi zinatoa pesa misaada kama sadaka kafuatilie historia ya colgate palmolive.
Kwa taarifa yako msingi wa uwajibikaji na utoaji ni fundisho katika ukristo na ndo maana nchi kama US wanaamini kwenye kuwajibika, kulipa kodi US ni taifa la kikristo kama ilivyo Germany au UK au Italy na wanatoa sana misaada mingi tu.
HapanaLicha ya kwamba waislamu wengi ni maskini ukilinganisha na wakristo
Hayo maombi Huwa ni Bure , au ni mojawapo ya biashara za wachungaji kujiingizia kipatoSio kweli,tunaona kilasiku wenye shida na mahitaji mbalimbali wakiombewa na wachungaji.
Stupid as dumbUmewahi kuona waislam wanatoa kiasi gani?
Sadaka za msikitini pekee bado zinaingizwa kwenye kitobo ikimaanisha ni sadaka za sarafu.
Kwwnye maduka yao omba omba wakipita hupewa sarafu.
Mkristo ni mtoaji sana, sadaka ya siku moja au mara moja ni sawa na sadaka ya sarafu za waislamu mwaka mzima
Jiwe gizani😂Stupid as dumb