Wakristo wanatoa sana kwa wachungaji kuzidi kwa wahitaji, Waislamu wanatoa sana kwa wahitaji kuzidi kwa mashehe

Sasa hao hao Answar wanaenda mahospitalini na kutoa misaada ya vyakula na nguo bure

Kwangu mimi sadaka hiyo ina sauti kubwa kuliko sadaka ya Kinafiki

Kama ningekuwa Muislam ningekuwa Answar
Una hoja mkuu, sadaka inayowagusa wenye uhitaji ni sadaka njema sana kuitoa hata nafsini mwako unapata amani.
 
Kuna watu makini sana JF, nakupa 5 ya nguvu. Ukristu ni upigaji, nilihama huko baada ya kuwa na mashaka na "ufufuko ". Mungu wa kweli anaweza kumtoa mwanae kafara kweli?
Inawezekana kabisa.

Hata wewe kumtoa mwanao kafara unaweza ukiamua.
 
Kwa hiyo Zaka wanatoa wenye ukwasi tu?
 
Sasa hapo chuki Iko wapi,we mpumbavu nini!?..kamsikilize Nyerere akiongea na wazee wa dar anaposema mkiristu alikua yeye na Mara moja moja bomani wengine wote walikua waislam enzi za kusaka uhuru,kiswahili neno sharti liwe na irabu
We jamaa unapenda sana kubishana Kwa matusi. Kwani ukijenga hoja bila kumtukana mtu huwa unapungukiwa Nini?
 
We jamaa unapenda sana kubishana Kwa matusi. Kwani ukijenga hoja bila kumtukana mtu huwa unapungukiwa Nini?
soma ID yake,halafu tafiti dini yake.

hayatokei hivi hivi haya matusi.
 
KWENYE KILA TAASISI YA DINI NAAMINI ILIANZISHWA KWA NIA NJEMA ILA KATIKA KILA JEMA LAZIMA KUNA WAHUNI WATAINGIA.
MFANO KUNA SIKU TULIPELEKA MZIGO PALE KANISA KUU KATOLIKI MOSHI YANI KRISTO MFALME, WAKATI TUNASHUSHA MZIGO TUKAOMBA MAJI YA KUNYWA KWA PADRI, TUKAONESHWA BOMBA MBELE YETU TUKANYWE. ILE TUMEFIKA KWENYE BOMBA TU ALITOKEA KIJANA MMOJA WA HAPO MISSION AKATUZUIA NA KUTUULIZA NANI AMETURUHUSU KWENDA KUNYWA MAJI PALE? TUKAMJIBU NI PADRI FLANI, AKATUTUKANA KISHA AKATWAMBIA KAMWAMBIE NIMEWANYIMA.
TULIONDOKA PALE KWA HASIRA TUKIAMINI MAJI HAYANYIMWI MTU ILA HUYU MWEHU SIJUI KATOKEA WAPI KAAMUA KUTUKATILI NA KIU YOTE HII YA JUA KALI LA SAA 7 MCHANA TENA NI MISSION NDIO TUNAFANYIWA HIVI!!!!!!
YANI MPAKA LEO NAOGOPA SANA HIZI TAASISI ZA DINI MAANA BAADHI YAO ROHO ZAO HAZIENDANI NA SEHEMU WALIPO.
 
Huko Rwanda kwenye mauaji ya kimbali waliokimbilia msikitini walipona ila waliokimbilia makanisani waliuwawa hiyo imekaaje?
Stori hizo, huko Rwanda kwenyewe wakristo ni weeengi kuliko waislamu
 
Mh! Nahisi kama sijakuelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…