duh! This is new to me. Sasa mbona huwa inafanyika kisiri siri?
Uislamu unafundisha hivo bwana ww kama ni muislamu ukifika maeneo ya wakristo haupaswi kuhoji hii nyama kachinja nani au hii ni nyama ya nguruwe au ya mnyama gani ww kula 2 labda ikitokea mtu akakujulisha kuwa hii ni nyama ya nguruwe usile.kubwa ukianza kula anza na kulitaja jina la mungu kisha kula.
hiyo ya wakristo itakua na nembo unhalal food
Nakubaliana na wewe Mkuu! na hii ndio njia bora ya kuukata huu mzizi wa fitna...ila Kigoma,Tabora na Singida nazo ziongezwe kuwa ni sehemu za Waislamu.Napendekeza nchi igawanywe kuwe na nchi ya Wakristo peke yao na pia nchi ya Waislam peke yao. Mashariki/Pwani iwe ni nchi ya Waislam tu and the rest iwe sehemu ya Wakristo. Ni maoni yangu tu.
Kuchinja ktk uislamu ni ibada km ilivyo ktk kila ibada yyt ktk uislamu ina mafunzo yake bali kuhusiana na suala la kula vichingo vya wakristo na mayahudi ni halali kwa waislamu kwani m/mungu ameyasema hayo ktk quruan"NA CHAKULA CHA WATU WALIOPEWA KITABU(MAYAHUDI NA MANASWARA) NI HALALI KWENU NA CHAKULA CHENU NI HALALI KWAO"kubwa ni lazima mnyama huyo achinjwe na c kupigwa rungu wala kuchinjwa kwa nyuma ya shingo yake,kuna baadhi ya watu wanasema watu wa kitabu waliokusudiwa ni wale wa zama za mtume ambao wameamini taurat,injili na zaburi ila ukweli aya haijaonyesha ni wepi aidha wale au hawa.Haya ni mambo yamekwishatolewa fatwa wala c swala la kugombana,kwahiyo akichinja mkristo au muislamu sawa.
Nguruwe huchinjwa machinjio mbalimbali hapa Tanzania na gwinginepo duniani!!Hivi nguruwe anachinjwa machinjio gani?
Mkuu mimi nimeangalia na suala la jiografia. Waislam waliopo Singida, Kigoma na Tabora nao itabidi wahamie Mashariki. Mfumo Kristo utakwisha.Nakubaliana na wewe Mkuu! na hii ndio njia bora ya kuukata huu mzizi wa fitna...ila Kigoma,Tabora na Singida nazo ziongezwe kuwa ni sehemu za Waislamu.
...nafikiri sisi ambao tuna maoni ya kuwa hi nchi igawanywe ni wakati wetu sasa wa kunyanyua sauti zetu!
Hujamuelewa!nashukuru kwa shule hii, coz wapo Muslim wanaojifanya na msimamo mkali wanapindisha sheria au maandiko makusudi kabisa kwa maslahi yao binafsi. Asante kaka
Wawe huru kuhamia sehemu yoyote ile ya Waislamu! lakini ardhi za Kigoma,Tabora na Singida zibakie kuwa ni za Waislamu.Mkuu mimi nimeangalia na suala la jiografia. Waislam waliopo Singida, Kigoma na Tabora nao itabidi wahamie Mashariki. Mfumo Kristo utakwisha.
Na vipi kuhusu mgawanyo wa rasilimali?Wawe huru kuhamia sehemu yoyote ile ya Waislamu! lakini ardhi za Kigoma,Tabora na Singida zibakie kuwa ni za Waislamu.
Halafu Waislamu waliopo sehemu za Wakristo wengi kama vile Mbeya na kwengineko watakuwa huru kuchagua wenyewe sehemu gani ya kuhamia katika sehemu za Waislamu.
Kila sehemu iwachiwe ijitegemee na rasilimali zake.Na vipi kuhusu mgawanyo wa rasilimali?
Kwa maoni yako kati ya Waislam na Wakristo ni dini gani wengi?Kila sehemu iwachiwe ijitegemee na rasilimali zake.
WaislamuKwa maoni yako kati ya Waislam na Wakristo ni dini gani wengi?
Maoni yako hayakubalikiNapendekeza nchi igawanywe kuwe na nchi ya Wakristo peke yao na pia nchi ya Waislam peke yao. Mashariki/Pwani iwe ni nchi ya Waislam tu and the rest iwe sehemu ya Wakristo. Ni maoni yangu tu.
Umetumia vigezo gani kusema hivyo?Waislamu
Mkuu! tunaokubaliana naye tumetoa sababu zetu.Maoni yako hayakubaliki
Takwimu za sensa ya mwisho kufanyika inayoonyesha kipengele cha dini.Umetumia vigezo gani kusema hivyo?