Mungu mwenyewe wa Ukristo ni muujiza, hivyo ukishakubali Mungu wa Ukristo, umeshakubali miujiza automatically.Ukiangalia wakristo wengi wanaojazana kwa mwamposa,kiboko ya wachawi wengi hawatafuti kumjua Mungu na kuacha madhambi bali wanaenda kutafuta miujiza huku wachungaji wasio na miujiza wakikimbiwa.
We haupendi miujiza?
Sasa ukiangalia baadhi ya miujiza wanayofanya unaona ni usanii bora muda huo wangetumia kuwakataza watu dhambiMungu mwenyewe wa Ujristo ni muujiza, hivyo ukishakubali Mungu wa Ukristo, umeshakubali miujiza automatically.
Na ukipinga miujiza, umepinga Mungu wa Ukristo automatically.
Huwezi kutenganisha Mungu wa Ukristo na miujiza.
Imani ya Mungu yenyewe ni usanii na muujiza.Sasa ukiangalia baadhi ya miujiza wanayofanya unaona ni usanii bora muda huo wangetumia kuwakataza watu dhambi
hakuna kitu kinafanyika kwenye miujiza tokeni kwenye hizi fikra!Miugiza ni ya Mungu, ukiipenda unampenda anaeisababisha. Kwa mantiki hiyo unampenda Mungu.
Je shetani hana miujiza?Miugiza ni ya Mungu, ukiipenda unampenda anaeisababisha. Kwa mantiki hiyo unampenda Mungu.
Haupendi miujiza??Sasa ukiangalia baadhi ya miujiza wanayofanya unaona ni usanii bora muda huo wangetumia kuwakataza watu dhambi
NdiyoHaupendi miujiza??
Uko wapi....Ndiyo
Mkuu nimeshindwa kukuPM, fanya namna na mimi nipate za kabejiMkuu njoo pm nikufanyie maombi,,,,,,, kesho uamke shangazi kaja lako unalo wekea nguo limejaa pesaaa 🤒😎