Wakristo zaidi ya 100 wauawa kwenye vijiji vya mkoa wa Plateau nchini Nigeria kwa kusherekea Christmas

CHAI
 
Hapana siyo chai. Waislam wanawaua sana wakristo wa Nigeria hasahawa magaidi fulani na Hausa. Katika kabila la Hausa kuna asilimia 20 ya wakristo uzao wa wale waliokataa kusilim baada ya fulani kuhamia kaskazini mwa Nigeria kutoka Guinea na Niger.

Wakristo Wengi Hausa wanapatikana Kano na Jos wanauwawa kila siku na haya magaidi. Wengi wamesukumwa hadi central Nigeria.

Cha kushangaza sasa hivi Yesu anawafundisha adabu. Licha ya kuwaua wakristo wamebaki hata kuwaua waislam wenzao.
 
Nasikia hao kina Fulani ndio chanzo cha mauaji zaidi, huko Hausa wamejiingiza ili wawe sehemu ya kabila kubwa zaidi Nigeria
 
Nasikia hao kina Fulani ndio chanzo cha mauaji zaidi, huko Hausa wamejiingiza ili wawe sehemu ya kabila kubwa zaidi Nigeria
Hausa wamekuwa waislam juzi tu 200 years ago baada ya Fulani kuvamia northern Nigeria.

Fulani wana roho mbaya sana. Wanapenda ngombe sana na kudai ng'ombe wana thamani kuliko mkristo.

Lakini dawa yao ni wakristo wa CAR anti balaka waliwafundisha adabu.
 
Hiyo nigeria mikristo ya hapo ni mi mbwa ama? Wanashindwa kuwachinja hao kenge waache usenge kama kule Central Africa? Pelekea moto waone kama wataendelea na huu ujinga. Mbona wasilam wa Senegal sio wapumbavu hivyo? Hilo kabila la Fulani ni takataka wanastahili kuuliwa wote mana ndio wasilam magaidi hapo naija.

Hao ni wakata vinjunga type huwa wapumbavu sana kwanza wanawachukia hata waislam wenzao wasiokua extremist kama wao
 
Shida ni naftali au taarifa?
Taarifa sina pingamizi nayo maana toka juzi naifatilia, ila Kwenye hii case kumquote mtu kama naftali ni shida sana, au hujasikia malalamiko ya maaskofu kule bethlehem?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…