Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Kama ni imani mbona hao mitume wao wanatibiwa VIP kwenye mahospitali ..hata wakiugua mafua tu wanakimbilia hospitaliniWatakwambia huna imani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni imani mbona hao mitume wao wanatibiwa VIP kwenye mahospitali ..hata wakiugua mafua tu wanakimbilia hospitaliniWatakwambia huna imani
Ndio kifungu pekeee ninachojua kwenye holy scrriptures 🤣🤣🤣Mzee wa mbususu kumbe na vifungu vya neno umejaaliwa. Hongera sana.
Dini na siasa havina tofauti.Tatizo tulilonalo waumini wengi ni kuwa tunaomba tu pale tunapopitia hali fulani na sio utaratibu wetu kuomba hata tukiwa kwenye hali ya kawaida.
Si unaamini katika ukristu? Kwa waaminio Mungu huwa hachelewi wala hawahi kujibu maombi yako, hujibu kwa wakati sahihi. Uo wakati sahihi hatujui ni lini na saa ngapi kwahiyo inahitaji uvumilivu kwa unalolitegemea. Zingatia kwa waaminio.
Ndio maana nikasema kwa waaminio, inafikirisha sana lakini ndio mambo ya imani yalivyoDini na siasa havina tofauti.
Eti Mungu hawahi wala hachelewi- hii ni nadharia ya uongo na bahati na sibu. Ili mambo yakienda mlama uambiwe hawahi, yakija kwa bahati tu uambiwe hachelewi😅😅😅
Achana na Matapeli Braza.Nimefunga, nimeshirikisha, nimeomba alafajiri lakini bado tabu ninayopitia inaendelea kunitafuna.
Tusaidiane wakuu.
Kuingia faragha na kuanza kuomba ni ishara ya mtu mwenye Imani na Mungu kuwa Ndiye Mwokozi uyu anahitaji mafunzo zaidi unajua unapoingia katika wokovu unakuwa Jeshi lakini la mgambo na yeye anahitaji kuwa mwanajeshi kamili mwenye mafunzoImani....hata bila kuvuja jasho kwenye maombi ukishakuwa na Imani unatoboa....
Usihofu Mungu bado yupo pamoja nawe upo kwenye njia sahihi haijalishi hali unayopitiaNimefunga, nimeshirikisha, nimeomba alfajiri lakini bado tabu ninayopitia inaendelea kunitafuna.
Tusaidiane wakuu.
Nimefunga, nimeshirikisha, nimeomba alfajiri lakini bado tabu ninayopitia inaendelea kunitafuna.
Tusaidiane wakuu.
Lakini mbona vifungu vya mbususu mle vingi tuu, kuna jamaa alimwaga nje akauawa. Haya mambo hatari sana.Ndio kifungu pekeee ninachojua kwenye holy scrriptures 🤣🤣🤣
Kwenye msafara wa mamba ata mijusi tumo😜
Tabu gani unayopitia mkuu kwa maana si kila tabu inatatuliwa kiroho moja kwa moja ila kuna tabu kabla hazijatatuliwa kiroho ni lazima zitengenezewe mazingira yanayohitajika ili kutengeneza uunganifu kati ya huo ulimwengu wa kiroho hadi kwenye ulimwengu wa damu na nyama ambako ndiko hiyo tabu yako inakopatikana.Nimefunga, nimeshirikisha, nimeomba alfajiri lakini bado tabu ninayopitia inaendelea kunitafuna.
Tusaidiane wakuu.
Hi ho kifungu mie sijawahi kukisoma...ebu niambie ni kitambu gani? Mwanzo? Kutoka? Daniel?Lakini mbona vifungu vya mbususu mle vingi tuu, kuna jamaa alimwaga nje akauawa. Haya mambo hatari sana.