YATIMA WA TCU
Member
- Aug 10, 2013
- 58
- 5
nimechaguliwa bs in geoinformatics aridhi lakini ndoto zangu ilikuwa kusoma petroliamu..tatizo nikwamba nimepata diploma ya petroliam sasa na kwama nisaidien niende wapi na nikipi kitanilipa zaidi nikiingia katika soko la ajira.jf ni sehemu ya msaada sana kwahiyo naombeni mawazo yenu