Wakubwa Naombeni Msaada wa Mawazo Yenu.

I believe kama mnapendana na kweli mnamalengo then u have to let her go and trust that she will come back to you.. Ila ukaona hajarudi basi jua haikua meant muwe pamoja, then u need to move on.. Enjoy life while u still can.. Peace
 
siku mbili baadae akanambia ile namba niifute na nisiitumie kabisa coz simu ilikamatwa alaf yule mwalimu akaichukua laini then
Hapa ndipo kulipo anza tatizo why usiitumie kifupi binti kakuficha tu we endelea nae hakuna mkamilifu muhimu kuombana msamaha maisha yaendelee.
 
Hapa ndipo kulipo anza tatizo why usiitumie kifupi binti kakuficha tu we endelea nae hakuna mkamilifu muhimu kuombana msamaha maisha yaendelee.
Alisema nisiitumie sababu ilichukuliwa na ticha..but nimekupata mkuu.
 
I believe kama mnapendana na kweli mnamalengo then u have to let her go and trust that she will come back to you.. Ila ukaona hajarudi basi jua haikua meant muwe pamoja, then u need to move on.. Enjoy life while u still can.. Peace
Thanks bro I get you.
 
Alisema nisiitumie sababu ilichukuliwa na ticha..but nimekupata mkuu.
Sio kwamba ilichukuliwa na ticha kipindi anakupa wew tahadhari tayari iko mikononi mwa jamaa so akawahi kukupa uwongo ili azime so kiasi hata kama akija kukupa uwongo usipanic sana.
 

Kama unasoma zingatia masomo kwa sasa, kama ulifeli mwambie mshua akupeleke veta au gerage ukajifunze kazi....huu ndo ushauri wangu.
 
Nigee namba ya huyo demu wako nikamfuate huko shule kwao nimuulize vizuri,mi nipo Rocky City Nyamagana hapa katikati ya jiji nipe namba yake nikusaidie uchunguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo jamaa yupo arusha ss kapataje izo namba wakati dem yupo shule mwanza ??
Hehehe..!!Mkuu me mwenyewe sijaelewa apo,Ila chalii alisema pindi dem anatoka chuga kwenda Mwanza alimwachia laini yule mchizi,Lakini hiyohiyo laini tulikua tunawasiliana na mamiloo akiwa Mwanza hadi inakuja kuchukuliwa na ticha kama alivyosema yeye,,Sasa namba kaipataje jamaa na dem bado hajarudi chuga tangia aondoke ni swali nalojiuliza bila majibu kwakweli dingiangu.
 
Nigee namba ya huyo demu wako nikamfuate huko shule kwao nimuulize vizuri,mi nipo Rocky City Nyamagana hapa katikati ya jiji nipe namba yake nikusaidie uchunguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Chaliangu manzi hana laini saivi waga anaomba kwa marafiki zake tu ndo tunaongea,hata kwa hao marafiki zake hana Permanent number leo tigo,kesho voda,jana Airtel,wiki ijayo voda but namba tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…