Wakubwa Naombeni Msaada wa Mawazo Yenu.

Mkuu usiweke malengo hapo bado mdogo huyo , ila kama unaweza himili maumivu yake wekeza

Wolf nation
 
Kama kakuruhusu mwenyewe kusafisha rungu endelea kusafisha rungu ila malengo ya kuoana hapo mnadanganyana umri wenu bado mdogo sana kuanza kuwekeana malengo makubwa hivyo mimi mwenyewe na utu uzima wangu bado naonekana sijapevuka bado na nina miaka 24 sembuse nyie miaka 19kwa 22 hamko serious
 
MREJESHO WA THREAD:Wakuu napenda kuwashukuru wote mlionipa ushauri kadri mlivyoweza,,Naam katika mrejesho hatimae leo rafiki ake kanitafuta anasema siku ile tuliyoongea nae hadi akalia presha ilipanda akapelekwa hospital na leo wameachiwa anaendelea vizuri ila yeye bado sijaongea nae alikua kalala.
 
Mangi jua tu kuwa ni mapema sana kumuamini mwanafunzi especially aliyeko bado secondary school. Hapo bado hajaenda chuo akawa huru kufanya atakacho tena bila ya usimamizi wa yeyote. Perhaps huyo ndio first love wako na sitaki kukukatisha tamaa lakini ukweli ni kwamba huyo Ngachude atakuzingua mbeleni.
 
chali kwema?

naomba nitangulize pongezi kwa kuomba ushauri ni jambo la busara sana kwa age yako kutaka mwanga juu ya swala hilii...naona hapo dem 19,wew 21..ni umri sahihi kabisa kupitia hisia hizo za ki real moyoni kabisa yani...

ukweli wa mambo wadau wengi hapo juu sio kwamba wanasema kwa ukali au kwa kukubeza kwamba umri bado mtaachana nk. ila ni kwasababu hiyo ni stage kila mtu akikuwa lazma apitie...mkitoka hapo mtaweza jikuta mkaa hata miaka saba pamoja ya u bf na gf..ila huyo akianza fika umri flani 26-29 au karibia na huko atapata phase nyingine kabisa ya ndoa na kutamani vitu vingine sasa hapo anakutana na mabloo 30-37 nao wanamihemko ya ndo ndo wanapo kutana..nawew umri huo sasa utapata kidem sasa 19-22 kipo real kinakuelewa sana kwasababu wewe umepitia huko utakivutia kasi nakukiambia tulia maliza shule nk ntakuoa tu kwasababu nawew umepitia huko sasa kakitulia miaka 25 wewe nawew una kuwa 32 nk umejipanga unatia ndani..

hizo ni hesabu kwa asilimia kubwa na ukweli ulivyo..ndo mana wanakushauri hapo juuu usiumize saaaana kuwaza kama ankupenda jua anakupenda nawe unampenda ila muoneshane upendo akiwepo nk.akiwa shule mjengee mazingira atulie akumis wewe upo na akirud mtaonana...maana anapopata nafasi ya mawasiliano anaacha kuwatafuta walipa ada anakutafuta wew ambaye kimsingi huna msaada wowote maans hapo ata hostel alikusaidia unakuws unashusha nguvu yako kama chaliii yan wakiume...dem acha akumiss acha uadimike ase...utamjengea mazingira akukwepe maana anajua hakawii nililia shida na vijana nawajua hapo kila ukiongea nae baada ya mda unamjengea mazingira ya kibom😂..nakutania ila natumai umeelewa nachotaka kukuelewesha .tulia mle penzi akiwepo akiwa shule tuliza hisia ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…