Wakubwa naombeni msaada wa software

Wakubwa naombeni msaada wa software

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
CF4B7BBD-1BFC-466F-B522-F96F0161EF0A.jpeg

1.Windows
2.Tally
3.Excel
 
Ma IT wa Bongo kujeni musaidie huku!

Umeifanyaje mpaka ikawa hivyo?
 
View attachment 2102886
1.Windows
2.Tally
3.Excel
Machine hapo inaboot kupitia network (ethernet) hapo inaweza kuwa kwa sababu
1. Umeseti hivyo kwenye bios, ingia bios seti iboot kupitia HDD
2. Machine haioni hdd ama inaiona lakini haioni os hivyo inapelekea kucheki network kama kuna option.

Ungeanza na bios mkuu hakikisha inaboot kupitia hdd
 
Machine hapo inaboot kupitia network (ethernet) hapo inaweza kuwa kwa sababu
1. Umeseti hivyo kwenye bios, ingia bios seti iboot kupitia HDD
2. Machine haioni hdd ama inaiona lakini haioni os hivyo inapelekea kucheki network kama kuna option.

Ungeanza na bios mkuu hakikisha inaboot kupitia hdd
Nimei restart tayari imekubali
 
Back
Top Bottom