Wakubwa naombeni msaada wa software

Ma IT wa Bongo kujeni musaidie huku!

Umeifanyaje mpaka ikawa hivyo?
 
View attachment 2102886
1.Windows
2.Tally
3.Excel
Machine hapo inaboot kupitia network (ethernet) hapo inaweza kuwa kwa sababu
1. Umeseti hivyo kwenye bios, ingia bios seti iboot kupitia HDD
2. Machine haioni hdd ama inaiona lakini haioni os hivyo inapelekea kucheki network kama kuna option.

Ungeanza na bios mkuu hakikisha inaboot kupitia hdd
 
Nimei restart tayari imekubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…