Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Wazuri hawaishiHao warembo nakutana nao kila siku na nishakua nao kwenye mahusiano hawana jipya.
Next time ukipata pesa nenda pale JNIA ukajionee uumbaji wa Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazuri hawaishiHao warembo nakutana nao kila siku na nishakua nao kwenye mahusiano hawana jipya.
Next time ukipata pesa nenda pale JNIA ukajionee uumbaji wa Mungu.
ha ha ha wenye mali wanakusikiaMimi ndo maana nakula wake za watu tu na natumia hela ndogo Sana hasa
Wanaonufaika na ya sasa, hawataki kutoa nafasiKupata katiba mpya kwa tz hii n shida sn
Changamoto ya kutokuwa na hela, kila kitu utaona ni dhambi; kula mdudu utasema ni dhambi, kuonga ni dhambi, kula ndizi samaki ni dhambi, kuvaa nguo mpya ni dhambi, kwenda club ni dhambi, kunywa pombe ni dhambi n.k Kama ni dhambi fungeni viwanda vyote vya pombe.Kama ambavyo wewe unaweza ku afford hiyo 120k kwa papuchi ya malaya hata huyo anayetoa gari ya 40M anaweza kuzi afford kama hizo mara 10 yake.
Huwezi kuwa na akili timamu una Mil 50-100 halafu unaenda kuhonga malaya gari ya mil 40 lazima kuna namna ubongo wako ulichanganyika na kinyesi
Si kweli; kulia wali kwenye sahani ya plastiki iliyobabuka ni tofauti na kula wali ule ule kwenye sahani ya udongo yenye maua maua.Starehe uliyopata ni sawa tu na aliyelipa buku tena
We unashangaa hicho kidogo tu; watu wanatuma tiketi kwenda kula bata Marekani. Maisha ni haya haya, hakuna sayari nyingine utaenda kufurahia maisha.Inaonekana wew huna akili unatumia pesa nyingi kisa uroda wa mwanamke malaya.? Ukikutana na pisi kali si utahonga mshahara wote...
Inategemea umekutana na nani; wapo ambao bila milioni 3+ huwagusi.Kula malaya ndo kufaidi?
No wonder akina Giggy na wenzie wanajiita masupa women
Kwahiyo wewe huli??Unakula malaya af unakuja kujisifu.
Jesus Christ.!!
Wengine ni TbT.. Tafuta Pesa
Nyie endeleeni kuwapa macho matatu badae wanakuja kutupatia jicho moja bureInategemea umekutana na nani; wapo ambao bila milioni 3+ huwagusi.
Tatizo mkuu, we unaongelea wakina mwajuma ndala ndefuNyie endeleeni kuwapa macho matatu sisi tunapatiwa jicho moja bure
Tatepa mkuuHii sio Mufindi kweli ?
Zamani sio saiviKwahiyo wewe huli??
Sasa mwenzio bado damu yake Ina charge mwache kama Sasa hivi wake 6 anao mazulia elfu na miambiliZamani sio saivi
Sitaki kuongea sana.Tatizo mkuu, we unaongelea wakina mwajuma ndala ndefu
Ni kweli ila namshauri atafute hela maana ata kwa ilo dau lake bado hafui dafu kwako Binti Maua[emoji4]Sasa mwenzio bado damu yake Ina charge mwache kama Sasa hivi wake 6 anao mazulia elfu na miambili
Mie huyu na mjua nilimuona Facebook kipindi nafanya kazi mahali huyo sio mtoto ni mtu makamu ila kipindi hicho alikuwa best yang sana .Ni kweli ila namshauri atafute hela maana ata kwa ilo dau lake bado hafui dafu kwako Binti Maua[emoji4]
Umetoka nje ya mada, mimi hata sizungumzii hukoChangamoto ya kutokuwa na hela, kila kitu utaona ni dhambi; kula mdudu utasema ni dhambi, kuonga ni dhambi, kula ndizi samaki ni dhambi, kuvaa nguo mpya ni dhambi, kwenda club ni dhambi, kunywa pombe ni dhambi n.k Kama ni dhambi fungeni viwanda vyote vya pombe.
Hili sio jukwaa la siasa mkuu [emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Kupata katiba mpya kwa tz hii n shida sn