staffsjohn
New Member
- Jun 29, 2015
- 1
- 0
Watanzania!
Kumekuwa na unyanyasaji mkubwa wamalipo na stahiki halali za wakufunzi.Tumeajiriwa sisi ni mwaka wa sita leo, mshahara unachelewa, tunafundisha muda wa ziada hatulipwi mpaka miezi 4 au usilipwe kabisa.
Part time ndio balaa mpaka leo hawajalipwa hela ya semester iliyopita, leo ni miezi 9 sasa, na hii ya sasa tuko wiki karibu ya 11 hakuna hata mia wamepewa.
Chuo hiki kweli nichadini, wananyanyasa watu sana, mtu amefundisha kweli 9 month anadai hawalipi, bado watawakata 30% wanadai kodi, yani mmekaa na haki ya myu miezi 9 na bado mnawakata na pia haipelekwi huko TRA maana hii sio PAYE, hii ni dhambi na uovu mkubwa.Mbona wanafunzi wakichelewa kulipa ADA MNAWALIPISHA FAINI 50000, 10000 BILA HURUMA. Hivi mna Mungu kweli, mpaka sasa mshahara hawajalipa na memo imetoka hawatalipa sijui mpaka lini.
Unategememea elimu iwe bora, ndio maana inaporomoka kila siku maana walimu hawana moyo wakufundisha na wanahama kila siku.
Walimu waliobaki hakuna mwenye moyo wa kufundisha, hali ni mbaya.
Baba Askofu Chimeledia, Kanisa linadhalilishwa kupitia chuo hiki, Mungu anatukanwa kwa kuonea viumbe vyake, walipeni watu stahiki yao, mpaka wanaanza kutuchukia sisi tuliowaleta kufundisha.
Waziri wa ELIMU, WAZIRI WA UTUMISHI, WAZIRI WA UTAWALA BORA, MKUU WA MKOA WA DODOMA, WAZAZI NA WANAFUNZI, CHUO BILA WALIMU KULIPWA STAHIKI ZAO KWA WAKATI NA BORA HAKUNA ELIMU HAPO.
Tunafundisha sana na hatulipwi ndio maana maendeleo hakuna,
Tunawaomba mfuatilie swala hili na kuhakikisha walimu tulioajiriwa tunalipwa mishahara na haki zetu zote ikiwepo pesa ya kusahihisha mitihani, kusimamia etc. Na hawa ndugu zetu wa part time walipwe yote 100% bila kukatwa maana aubu lazima muwe nayo miezi 9 hujamlipa mtu unategemea nini na amefundisha, matokeo yametoka.Mnataka wakatae kuleta matokeo kama hawa wetu wa FAHE ndio mjue kuwa wanataka pesa yao halali.
Mnachelewesha halafu mnakuja kudai attendence ili msiwalipe peas zao zote, huu ni uonevu na dhambi kubwa.
Tena huyu mhasibu asiye kuwa na CPA ni tatizo kubwa katika chuo, hajali walimu, hawasikilizi shida zao, hatimizi ahadi.
Walimu wanadaiwa kodi akiomba advice House allowance hapewi mpaka afukuzwe kwenye nyumba, walimu wa St. John tuna maisha duni.
Wazazi jitokezeni kukemea uovu huu, msiwe sehemu ya dhambi hii, msiposimama, watoto wenu ndio wanaopata bora elimu, ndio maana walimu wanahama na wanafnzi wakimaliza diploma hawarudi kwa sababu ya uongozi dhaifu usiojali watoa taaluma.
Tumechoka na kudharauliwa, kutojaliwa na mwajiri.Kama Mungu yupo na kanisa linayajua haya na kukaa kimya kudulumu haki ya watu, watoto wao wanateseka, familia pia , Mungu atawaadhibu.
Tutaandika mengi ili kukisaidia chuo maana ndani tumesema tumeshindwa. Ukidai haki yako utatafutiwa sababu mpaka uondolewe au ushushwe cheo.
Kama chuo hakitendi haki ndio maana laana, mabalaaa na maendeleo hakuna kwa sababu viumbe vya Mungu mnavinyanyasa na kuviumiza kimaisha.
Hakuna quality assuarance kama hamlipi, hamjali watoa taaluma, watu wanaajiriwa bial vigezo , mtu amaendesha idara asiyokuwa na utaalamu nayo, itafanikiwa vipi.
Mnajali adinistration staff wachache, tena wanalipwa kuliko wakufunzi, hii mmewahi kuiona chuo gani?
Serekali saidieni tulipwe, kama chuo na taasisi ya dini hailipi watu mishahara, ujira wa part time haujalipwa miezi 9 na ninyi mmekaa kimya, je mtu binafsi itakuwa,wanatania ndio maana wamekuwa watumwa kwenye nchi yao.
Kumekuwa na unyanyasaji mkubwa wamalipo na stahiki halali za wakufunzi.Tumeajiriwa sisi ni mwaka wa sita leo, mshahara unachelewa, tunafundisha muda wa ziada hatulipwi mpaka miezi 4 au usilipwe kabisa.
Part time ndio balaa mpaka leo hawajalipwa hela ya semester iliyopita, leo ni miezi 9 sasa, na hii ya sasa tuko wiki karibu ya 11 hakuna hata mia wamepewa.
Chuo hiki kweli nichadini, wananyanyasa watu sana, mtu amefundisha kweli 9 month anadai hawalipi, bado watawakata 30% wanadai kodi, yani mmekaa na haki ya myu miezi 9 na bado mnawakata na pia haipelekwi huko TRA maana hii sio PAYE, hii ni dhambi na uovu mkubwa.Mbona wanafunzi wakichelewa kulipa ADA MNAWALIPISHA FAINI 50000, 10000 BILA HURUMA. Hivi mna Mungu kweli, mpaka sasa mshahara hawajalipa na memo imetoka hawatalipa sijui mpaka lini.
Unategememea elimu iwe bora, ndio maana inaporomoka kila siku maana walimu hawana moyo wakufundisha na wanahama kila siku.
Walimu waliobaki hakuna mwenye moyo wa kufundisha, hali ni mbaya.
Baba Askofu Chimeledia, Kanisa linadhalilishwa kupitia chuo hiki, Mungu anatukanwa kwa kuonea viumbe vyake, walipeni watu stahiki yao, mpaka wanaanza kutuchukia sisi tuliowaleta kufundisha.
Waziri wa ELIMU, WAZIRI WA UTUMISHI, WAZIRI WA UTAWALA BORA, MKUU WA MKOA WA DODOMA, WAZAZI NA WANAFUNZI, CHUO BILA WALIMU KULIPWA STAHIKI ZAO KWA WAKATI NA BORA HAKUNA ELIMU HAPO.
Tunafundisha sana na hatulipwi ndio maana maendeleo hakuna,
Tunawaomba mfuatilie swala hili na kuhakikisha walimu tulioajiriwa tunalipwa mishahara na haki zetu zote ikiwepo pesa ya kusahihisha mitihani, kusimamia etc. Na hawa ndugu zetu wa part time walipwe yote 100% bila kukatwa maana aubu lazima muwe nayo miezi 9 hujamlipa mtu unategemea nini na amefundisha, matokeo yametoka.Mnataka wakatae kuleta matokeo kama hawa wetu wa FAHE ndio mjue kuwa wanataka pesa yao halali.
Mnachelewesha halafu mnakuja kudai attendence ili msiwalipe peas zao zote, huu ni uonevu na dhambi kubwa.
Tena huyu mhasibu asiye kuwa na CPA ni tatizo kubwa katika chuo, hajali walimu, hawasikilizi shida zao, hatimizi ahadi.
Walimu wanadaiwa kodi akiomba advice House allowance hapewi mpaka afukuzwe kwenye nyumba, walimu wa St. John tuna maisha duni.
Wazazi jitokezeni kukemea uovu huu, msiwe sehemu ya dhambi hii, msiposimama, watoto wenu ndio wanaopata bora elimu, ndio maana walimu wanahama na wanafnzi wakimaliza diploma hawarudi kwa sababu ya uongozi dhaifu usiojali watoa taaluma.
Tumechoka na kudharauliwa, kutojaliwa na mwajiri.Kama Mungu yupo na kanisa linayajua haya na kukaa kimya kudulumu haki ya watu, watoto wao wanateseka, familia pia , Mungu atawaadhibu.
Tutaandika mengi ili kukisaidia chuo maana ndani tumesema tumeshindwa. Ukidai haki yako utatafutiwa sababu mpaka uondolewe au ushushwe cheo.
Kama chuo hakitendi haki ndio maana laana, mabalaaa na maendeleo hakuna kwa sababu viumbe vya Mungu mnavinyanyasa na kuviumiza kimaisha.
Hakuna quality assuarance kama hamlipi, hamjali watoa taaluma, watu wanaajiriwa bial vigezo , mtu amaendesha idara asiyokuwa na utaalamu nayo, itafanikiwa vipi.
Mnajali adinistration staff wachache, tena wanalipwa kuliko wakufunzi, hii mmewahi kuiona chuo gani?
Serekali saidieni tulipwe, kama chuo na taasisi ya dini hailipi watu mishahara, ujira wa part time haujalipwa miezi 9 na ninyi mmekaa kimya, je mtu binafsi itakuwa,wanatania ndio maana wamekuwa watumwa kwenye nchi yao.