Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,538
Wanakua na 4.8 afu board hawachomoi hata somo moja ndo nin sasa?rafik angu Humphrey kamaliza St John BAF tangu 2011 mi niko first yr akaanza Board tena wakat wao ilikua masomo matatu matatu kila module ila hakuwah kuchomoa hata somo moja,mi nimemaliza mwaka jana tu ila yote nimegonga nasubir kugraduate mwez wa lkumi yeye bado anafanya tu hadi leo na ajarecord hata somo moja,ana ana 1st class ya St John,mi na GPA yangu ya kawaida tu saiz hawez kuakaa meza moja na mim mi nina namba ya Mhasibu mkuu,sasa kaa uchelewe na ilo GPA lakoo la BAF wakat hata CPA hauna si tutakuona ndorobooooooooo tuuu
Ndoroooooobo mwenyewe