OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 426
- 685
Hali ni mbaya kwa ununuzi wa data kwa wakulima. Kwa takwimu za NBS za 2020 wakulima wanapata kwa wastani Tsh. 169,377 kwa mwezi. Wastani wa fedha wanazopata wanawake ni ndogo zaidi kuliko wanaume ambapo wanawake huingiza kwa wastani Tsh. 124,479 na wastani wa wanaume ni Tsh. 195,617.
Kwa Takwimu za TCRA MB moja kwa robo ya mwisho ya mwaka 2022 iliuzwa kwa Tsh 8. ambapo GB moja ni sawa na Tsh. 8192 ambapo GB tano zinakuwa ni Tsh. 40960
Kwa bei hizo maana yake kwa kila mwezi wakulima hutumia 24% ya kipato chao kununua walau GB tano za data. Hali hii ni kuwa watu hawa wanakutana na fursa finyu za mtandaoni.
Ikumbukwe kuwa wanaopigania unafuu wa bei za data wanashauri GB tano ziuzwe kwa bei ambayo ni chini ya 2% ya kipato cha mtu. Hii inaonesha gharama za data ni kubwa sana kwa Tanzania
Kwa waajiriwa wa makundi mengine,
OLS
Kwa Takwimu za TCRA MB moja kwa robo ya mwisho ya mwaka 2022 iliuzwa kwa Tsh 8. ambapo GB moja ni sawa na Tsh. 8192 ambapo GB tano zinakuwa ni Tsh. 40960
Kwa bei hizo maana yake kwa kila mwezi wakulima hutumia 24% ya kipato chao kununua walau GB tano za data. Hali hii ni kuwa watu hawa wanakutana na fursa finyu za mtandaoni.
| Male | Female | Total | |
195,617 | 124,479 | 169,377 | |
| GB tano kama wastani wa kipato | 21% | 33% | 24% |
Kwa waajiriwa wa makundi mengine,
| Male | Female | Total | |
| Paid Employees | 396,885 | 378,469 | 390,992 |
| 5GB as ratio of Income | 10.3% | 10.8% | 10.5% |
| Self Employed | 420,288 | 233,918 | 327,057 |
| 5GB as ratio of Income | 9.7% | 17.5% | 12.5% |
OLS