Wakulima Jiandaeni Kisaikolojia na Kuporomoka Kwa Bei ya Mahindi Mwaka huu 2023, Kenya Gunia la Mahindi Imeshuka hadi Tsh. 80,000

Wakulima Jiandaeni Kisaikolojia na Kuporomoka Kwa Bei ya Mahindi Mwaka huu 2023, Kenya Gunia la Mahindi Imeshuka hadi Tsh. 80,000

Acha upuuzi,uruhusu mchele wa Nje Ili kumkomoa nani na kumdaidia nani?
Sasa wananchi tunaumia na ndio wateja wa hizo bidhaa ina maana wewe unafurahia huu mfumuko wa bei za nafaka?

Hata hivyo serikali wameshatoa vibali vya kuagiza wafanyabiashara kuingiza mchele kutoka nje.
 
Swali la kujiuliza kwanini yameshuka ?

Tatizo la hii nchi tunakwenda kwa matukio na bahati mbaya we are always one step behind kwahio kila tukifanya kitu tunajikuta tumechelewa...... Ndio maana majuzi nikauliza....

Kunawnasiasa walijipatia Umaarufu kutokana kupanda Kwa Bei ya mahindi,ikawa kama vile Kuna kitu Serikali imefanya. Sasa yakishuka sijui watasemaje!?😁
 
Kwani hujasoma sababu za kushuka? Biashara huwenda Kwa matukio na msimu na hasa kwenye Kilimo..

Ndio maana nakubaliana na sera ya serikali ya kutoingilia bei ya soko,wao wapambane kutafuta masoko mapya na pia kuongeza thamani mazao.

Mfano Bodi ya Mazao Mchanganyiko Ina kiwanda pale Dodoma wanasaga unga wa nafaka mbalimbali na kuzi pack hivyo wanauza mazao yalioogezwa thamani.

Sasa Ili kujihakikishia soko tunatakiwa kukuza viwanda vya hivi na pia kukuza sekta ya ufugaji iwe ya Kisasa na kutoa soko kwenye mazao ya Kilimo.
Sahihi
 
Mleta uzi ni mbinafsi anataka bei iendelee kupanda huku wananchi wakitaabika alafu kikundi cha madalali wachache wakiendelea kunufaika

Mfano kwa mwezi huu wa pili hakuna mkulima mwenye mazao ni madalali/mabwanyenye ndo wanamazao na ndo wanufaika wakubwa wa huu mfumuko wa bei
Jamaa ni zaidi ya popoma,alikua anapinga mawazo ya watu humu kuhusu serikali kuleta mchele wa nje,baada ya serikali kuruhusu mchele kutoka usishangae huyu huyu aliekua anapinga akapongeza uamuzi wa serikali
 
Acha watu wapate chakula kwa bei wanayoimudu bwana, hivi unafurahia kusikia watu wakifa kwa njaa na ukame hapa duniani? Kumbuka nao wanazo family na wategemezi Kama ilivyo kwa wengine.
 
Habari ndugu wakulima wenzangu.

Leo natoa taarifa tuu ya Hadhara kwamba mjiandae kisaikolojia maana bei ya Mahindi itaenda kushuka sana.

Kenya ambayo ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania bei imeshuka kutoka Tsh 130,000 Kwa gunia la kilo 100 Hadi Tsh.80,000.Ikumbukwe Kenya ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania..

Hii imetokana na sera ya Ruto ya kuingiza mahindi ya GMO kutoka Nje ya Nchi tena bila ushuru wowote.

Aidha Msimu huu mvua zimekubali maeneo mengi ya Nchi plus mbolea ya ruzuku so mazao yatakuwa mengi sana na hivyo yatakutana na hali mbaya ya bei.

Ambae anauwezo ni kuandaa stoo vinginevyo msimu wa mavuno usije shangaa gunia kuuzwa 30,000 na wateja hakuna,maana wafanyabiashara wengi watakimbilia kwenye mchele/mpunga ambao naona bei zitashuka ila Kwa kiasi kidogo.

Nitoe wito Kwa serikali Kupitia bodi ya mazao Mchanganyiko PBZ na wakala wa Hifadhi wa Chakula NFRA chini ya Wizara ya Kilimo kutenga Bajeti ya kutosha Ili kuja kununua mazao Kwa mkulima Ili Kuokoa uzalishaji msimu utakaofuata maana mfanyabiashara hawezi nunua wakati hakuna soko.

Pia Serikali iangalie uwezekano wa kutafuta Soko Ethiopia,Sudan Kusini na Somalia Moja kwa Moja badala ya kutegemea Kenya pekee.

Kuhusu mazao kukosa bei huyu jamaa anaota ndoto ya mchana, maeneo mengi mwaka huu ukame umeharibu mazao sasa sijui huyu anakaa nchi ipi maana hata angekuwa anakaa mjini angeona hali halisi ya hewa
 
Habari ndugu wakulima wenzangu.

Leo natoa taarifa tuu ya Hadhara kwamba mjiandae kisaikolojia maana bei ya Mahindi itaenda kushuka sana.

Kenya ambayo ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania bei imeshuka kutoka Tsh 130,000 Kwa gunia la kilo 100 Hadi Tsh.80,000.Ikumbukwe Kenya ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania..

Hii imetokana na sera ya Ruto ya kuingiza mahindi ya GMO kutoka Nje ya Nchi tena bila ushuru wowote.

Aidha Msimu huu mvua zimekubali maeneo mengi ya Nchi plus mbolea ya ruzuku so mazao yatakuwa mengi sana na hivyo yatakutana na hali mbaya ya bei.

Ambae anauwezo ni kuandaa stoo vinginevyo msimu wa mavuno usije shangaa gunia kuuzwa 30,000 na wateja hakuna,maana wafanyabiashara wengi watakimbilia kwenye mchele/mpunga ambao naona bei zitashuka ila Kwa kiasi kidogo.

Nitoe wito Kwa serikali Kupitia bodi ya mazao Mchanganyiko PBZ na wakala wa Hifadhi wa Chakula NFRA chini ya Wizara ya Kilimo kutenga Bajeti ya kutosha Ili kuja kununua mazao Kwa mkulima Ili Kuokoa uzalishaji msimu utakaofuata maana mfanyabiashara hawezi nunua wakati hakuna soko.

Pia Serikali iangalie uwezekano wa kutafuta Soko Ethiopia,Sudan Kusini na Somalia Moja kwa Moja badala ya kutegemea Kenya pekee.

Hakuna kujiandaa
Kilimo ni biashara
Hakiendi kwa amri
Bei ya mahindi inaendeshwa na kanuni ya "demand and supply" bei ya mahindi haindeshwi na kenya wala Zambia
 
Vp mpk sasa? Wasikie wenyewe sasa
Screenshot_20230316-005649_Facebook.jpg
 
mahindi huku yapo mengi "Ruvuma" cha ajabu bei ni 700-780 (haijawahi tokea toka nimezaliwa) mahindi yataadimika sana safari hii kwa hii bei msiponunua mahindi hadi kwa 1500 kilo mwakani mwezi wa 1 nimekaa pale
 
Habari ndugu wakulima wenzangu.

Leo natoa taarifa tuu ya Hadhara kwamba mjiandae kisaikolojia maana bei ya Mahindi itaenda kushuka sana.

Kenya ambayo ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania bei imeshuka kutoka Tsh 130,000 Kwa gunia la kilo 100 Hadi Tsh.80,000.Ikumbukwe Kenya ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania..

Hii imetokana na sera ya Ruto ya kuingiza mahindi ya GMO kutoka Nje ya Nchi tena bila ushuru wowote.

Aidha Msimu huu mvua zimekubali maeneo mengi ya Nchi plus mbolea ya ruzuku so mazao yatakuwa mengi sana na hivyo yatakutana na hali mbaya ya bei.

Ambae anauwezo ni kuandaa stoo vinginevyo msimu wa mavuno usije shangaa gunia kuuzwa 30,000 na wateja hakuna,maana wafanyabiashara wengi watakimbilia kwenye mchele/mpunga ambao naona bei zitashuka ila Kwa kiasi kidogo.

Nitoe wito Kwa serikali Kupitia bodi ya mazao Mchanganyiko PBZ na wakala wa Hifadhi wa Chakula NFRA chini ya Wizara ya Kilimo kutenga Bajeti ya kutosha Ili kuja kununua mazao Kwa mkulima Ili Kuokoa uzalishaji msimu utakaofuata maana mfanyabiashara hawezi nunua wakati hakuna soko.

Pia Serikali iangalie uwezekano wa kutafuta Soko Ethiopia,Sudan Kusini na Somalia Moja kwa Moja badala ya kutegemea Kenya pekee.

Bei Haina hata dalili ya Kushuka
 
Mtabiri wa kushuka Kwa bei ya mahindi unasikilizia baridi ukiwa gholofa ya ngapi maana bei aishikiki na mahindi bado yapo mashambani.
 
mahindi huku yapo mengi "Ruvuma" cha ajabu bei ni 700-780 (haijawahi tokea toka nimezaliwa) mahindi yataadimika sana safari hii kwa hii bei msiponunua mahindi hadi kwa 1500 kilo mwakani mwezi wa 1 nimekaa pale
Tutaagiza Mexico au Tutaanza kula mikate
 
Kwa mwaka mzima mtu 1 kama unakula ugali tu asubuhi na jion inakubidi uwe na kilo 300 ndani za mahindi so ukizidisha na familia uliyonayo nyumbani Kwako utaelewa inakubidi uwe na Tani ngapi za mahindi kwenye ghala
 
Back
Top Bottom