The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
- Thread starter
-
- #41
Jibu hojaMzeee huwa sijui upo upand gani ,kwemy hoja zako Kuna wakt unawapambania wakulima Kuna wakt unawazagia kunguni Kama leo hi kuwatisha dhid ya Bei
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sasa wananchi tunaumia na ndio wateja wa hizo bidhaa ina maana wewe unafurahia huu mfumuko wa bei za nafaka?Acha upuuzi,uruhusu mchele wa Nje Ili kumkomoa nani na kumdaidia nani?
Kunawnasiasa walijipatia Umaarufu kutokana kupanda Kwa Bei ya mahindi,ikawa kama vile Kuna kitu Serikali imefanya. Sasa yakishuka sijui watasemaje!?😁Swali la kujiuliza kwanini yameshuka ?
Tatizo la hii nchi tunakwenda kwa matukio na bahati mbaya we are always one step behind kwahio kila tukifanya kitu tunajikuta tumechelewa...... Ndio maana majuzi nikauliza....
Majukumu ya Waziri wa Kilimo ni yapi?
Ndio maana nadhani haujaelewa majukumu ya Wizara..., Jukumu la kuhakikisha gharama za uendeshaji ni rafiki ni nani ? na wakati mahindi yanashuka bei na kuozea mashambani huwa gharama za uendeshaji analipia nani... Jukumu kubwa la Wizara ya Kilimo (ikiwa pamoja na Waziri) ni kutunga na kusimamia...www.jamiiforums.com
Mahindi yatashuka Bei kuanzia April mkuu,kama umeficha achia Badge anawadanganya!bAada ya mwez wa kwanza mahindi kushuka huku kwetu mwanza,mwez huu wa pili yamepanda tena kwa speed ya 5G
Nasema hivi huo ni uongo gharama za chakula zitaendelea kupaa tu
SahihiKwani hujasoma sababu za kushuka? Biashara huwenda Kwa matukio na msimu na hasa kwenye Kilimo..
Ndio maana nakubaliana na sera ya serikali ya kutoingilia bei ya soko,wao wapambane kutafuta masoko mapya na pia kuongeza thamani mazao.
Mfano Bodi ya Mazao Mchanganyiko Ina kiwanda pale Dodoma wanasaga unga wa nafaka mbalimbali na kuzi pack hivyo wanauza mazao yalioogezwa thamani.
Sasa Ili kujihakikishia soko tunatakiwa kukuza viwanda vya hivi na pia kukuza sekta ya ufugaji iwe ya Kisasa na kutoa soko kwenye mazao ya Kilimo.
Jamaa ni zaidi ya popoma,alikua anapinga mawazo ya watu humu kuhusu serikali kuleta mchele wa nje,baada ya serikali kuruhusu mchele kutoka usishangae huyu huyu aliekua anapinga akapongeza uamuzi wa serikaliMleta uzi ni mbinafsi anataka bei iendelee kupanda huku wananchi wakitaabika alafu kikundi cha madalali wachache wakiendelea kunufaika
Mfano kwa mwezi huu wa pili hakuna mkulima mwenye mazao ni madalali/mabwanyenye ndo wanamazao na ndo wanufaika wakubwa wa huu mfumuko wa bei
Kuhusu mazao kukosa bei huyu jamaa anaota ndoto ya mchana, maeneo mengi mwaka huu ukame umeharibu mazao sasa sijui huyu anakaa nchi ipi maana hata angekuwa anakaa mjini angeona hali halisi ya hewaHabari ndugu wakulima wenzangu.
Leo natoa taarifa tuu ya Hadhara kwamba mjiandae kisaikolojia maana bei ya Mahindi itaenda kushuka sana.
Kenya ambayo ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania bei imeshuka kutoka Tsh 130,000 Kwa gunia la kilo 100 Hadi Tsh.80,000.Ikumbukwe Kenya ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania..
Hii imetokana na sera ya Ruto ya kuingiza mahindi ya GMO kutoka Nje ya Nchi tena bila ushuru wowote.
Aidha Msimu huu mvua zimekubali maeneo mengi ya Nchi plus mbolea ya ruzuku so mazao yatakuwa mengi sana na hivyo yatakutana na hali mbaya ya bei.
Ambae anauwezo ni kuandaa stoo vinginevyo msimu wa mavuno usije shangaa gunia kuuzwa 30,000 na wateja hakuna,maana wafanyabiashara wengi watakimbilia kwenye mchele/mpunga ambao naona bei zitashuka ila Kwa kiasi kidogo.
Nitoe wito Kwa serikali Kupitia bodi ya mazao Mchanganyiko PBZ na wakala wa Hifadhi wa Chakula NFRA chini ya Wizara ya Kilimo kutenga Bajeti ya kutosha Ili kuja kununua mazao Kwa mkulima Ili Kuokoa uzalishaji msimu utakaofuata maana mfanyabiashara hawezi nunua wakati hakuna soko.
Pia Serikali iangalie uwezekano wa kutafuta Soko Ethiopia,Sudan Kusini na Somalia Moja kwa Moja badala ya kutegemea Kenya pekee.
Unga drops: Maize prices decline by over KSh 1000 per 90kg bag
Kenyan consumers can breathe a sigh of relief following a drop in maize prices by over KSh 1,000 for a 90kg bag. Millers have filled their stores in North Rift.www.tuko.co.ke
Kuhusu mazao kukosa bei huyu jamaa anaota ndoto ya mchana, maeneo mengi mwaka huu ukame umeharibu mazao sasa sijui huyu anakaa nchi ipi maana hata angekuwa anakaa mjini angeona hali halisi ya hewa
Hakuna kujiandaaHabari ndugu wakulima wenzangu.
Leo natoa taarifa tuu ya Hadhara kwamba mjiandae kisaikolojia maana bei ya Mahindi itaenda kushuka sana.
Kenya ambayo ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania bei imeshuka kutoka Tsh 130,000 Kwa gunia la kilo 100 Hadi Tsh.80,000.Ikumbukwe Kenya ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania..
Hii imetokana na sera ya Ruto ya kuingiza mahindi ya GMO kutoka Nje ya Nchi tena bila ushuru wowote.
Aidha Msimu huu mvua zimekubali maeneo mengi ya Nchi plus mbolea ya ruzuku so mazao yatakuwa mengi sana na hivyo yatakutana na hali mbaya ya bei.
Ambae anauwezo ni kuandaa stoo vinginevyo msimu wa mavuno usije shangaa gunia kuuzwa 30,000 na wateja hakuna,maana wafanyabiashara wengi watakimbilia kwenye mchele/mpunga ambao naona bei zitashuka ila Kwa kiasi kidogo.
Nitoe wito Kwa serikali Kupitia bodi ya mazao Mchanganyiko PBZ na wakala wa Hifadhi wa Chakula NFRA chini ya Wizara ya Kilimo kutenga Bajeti ya kutosha Ili kuja kununua mazao Kwa mkulima Ili Kuokoa uzalishaji msimu utakaofuata maana mfanyabiashara hawezi nunua wakati hakuna soko.
Pia Serikali iangalie uwezekano wa kutafuta Soko Ethiopia,Sudan Kusini na Somalia Moja kwa Moja badala ya kutegemea Kenya pekee.
Unga drops: Maize prices decline by over KSh 1000 per 90kg bag
Kenyan consumers can breathe a sigh of relief following a drop in maize prices by over KSh 1,000 for a 90kg bag. Millers have filled their stores in North Rift.www.tuko.co.ke
Bei Haina hata dalili ya KushukaHabari ndugu wakulima wenzangu.
Leo natoa taarifa tuu ya Hadhara kwamba mjiandae kisaikolojia maana bei ya Mahindi itaenda kushuka sana.
Kenya ambayo ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania bei imeshuka kutoka Tsh 130,000 Kwa gunia la kilo 100 Hadi Tsh.80,000.Ikumbukwe Kenya ndio soko kuu la Mahindi ya Tanzania..
Hii imetokana na sera ya Ruto ya kuingiza mahindi ya GMO kutoka Nje ya Nchi tena bila ushuru wowote.
Aidha Msimu huu mvua zimekubali maeneo mengi ya Nchi plus mbolea ya ruzuku so mazao yatakuwa mengi sana na hivyo yatakutana na hali mbaya ya bei.
Ambae anauwezo ni kuandaa stoo vinginevyo msimu wa mavuno usije shangaa gunia kuuzwa 30,000 na wateja hakuna,maana wafanyabiashara wengi watakimbilia kwenye mchele/mpunga ambao naona bei zitashuka ila Kwa kiasi kidogo.
Nitoe wito Kwa serikali Kupitia bodi ya mazao Mchanganyiko PBZ na wakala wa Hifadhi wa Chakula NFRA chini ya Wizara ya Kilimo kutenga Bajeti ya kutosha Ili kuja kununua mazao Kwa mkulima Ili Kuokoa uzalishaji msimu utakaofuata maana mfanyabiashara hawezi nunua wakati hakuna soko.
Pia Serikali iangalie uwezekano wa kutafuta Soko Ethiopia,Sudan Kusini na Somalia Moja kwa Moja badala ya kutegemea Kenya pekee.
Unga drops: Maize prices decline by over KSh 1000 per 90kg bag
Kenyan consumers can breathe a sigh of relief following a drop in maize prices by over KSh 1,000 for a 90kg bag. Millers have filled their stores in North Rift.www.tuko.co.ke
Tutaagiza Mexico au Tutaanza kula mikatemahindi huku yapo mengi "Ruvuma" cha ajabu bei ni 700-780 (haijawahi tokea toka nimezaliwa) mahindi yataadimika sana safari hii kwa hii bei msiponunua mahindi hadi kwa 1500 kilo mwakani mwezi wa 1 nimekaa pale