Wakulima mnazidi kumiminiwa neema na Rais Samia, sasa Mfuko wa Kukabiliana na Kuporomoka kwa bei kuanzishwa

Wakulima mnazidi kumiminiwa neema na Rais Samia, sasa Mfuko wa Kukabiliana na Kuporomoka kwa bei kuanzishwa

Hakuna lolote. Bei ya Pamba badala ya kuongezeka imeshuka kwa tofauti ya sh 500 kutoka mwaka jana, serikali wala haijali chochote kabisa
 
Hakuna lolote. Bei ya Pamba badala ya kuongezeka imeshuka kwa tofauti ya sh 500 kutoka mwaka jana, serikali wala haijali chochote kabisa
Kwani Serikali ndio inanunua pamba? Pakistan wameshazalisha pamba ya kutosha so komaeni..

Pili Serikali Iko kwenye process za kuanzisha price stabilisation funds ndio itawalinda na hizo mabadiliko ya bei yasiyotarajiwa,vuta subiria.
 
Ubabaishaji na huo mfuko ni wa kupiga pesa.
Hamna kitu huyo mamako, nchi inajiendea tu.
Bora hata yule roporopo aliyetangulia.
Bahati nzuri waropokaji sio wakulima so hamna impacts mtaishia kujisemesha hivi hivi ila wakulima halisi na wapiga kura wanafurahia maisha huku,nyie kamchagueni Lisu atawaletea pesa 👇
 
Bahati nzuri waropokaji sio wakulima so hamna impacts mtaishia kujisemesha hivi hivi ila wakulima halisi na wapiga kura wanafurahia maisha huku,nyie kamchagueni Lisu atawaletea pesa 👇

Hawa wakulima wenu wa kwenye picha na online hakuna lolote .

Hali halisi ya wakulima wengi siyo nzuri mfano; Alizeti inanunuliwa kwa mkulima sh 500 kwa kilo, wakati mwaka jana imenunuliwa sh 1200 anguko la zaidi ya asilimia 50 unategemea mkulima anayezalisha alizeti singida anaishije?!!!
 
Hawa wakulima wenu wa kwenye picha na online hakuna lolote .

Hali halisi ya wakulima wengi siyo nzuri mfano; Alizeti inanunuliwa kwa mkulima sh 500 kwa kilo, wakati mwaka jana imenunuliwa sh 1200 anguko la zaidi ya asilimia 50 unategemea mkulima anayezalisha alizeti singida anaishije?!!!
Hili anguko Sasa ndio tunalipenda maana mafuta yalipokuwa bei Juu mlikuwa mnapiga makele sana..

Hii ndio Serikali ilikuwa inatafuta Sasa manake uzalishaji wa Mbegu za mafuta uko wa kutosha na sasa mafuta yatapatikana Kwa bei ya average..

Kama hiyo bei haiwalipi waambieni Serikali wapunguze uingizaji wa mafuta ya Nje au sindikieni uzeni mafuta..

Mwisho wakulima sio lazima uwe wewe hapo na zao lako Kuporomoka sio lazima mazao mengine yapromoke,gunia la Mahindi ni tsh.60,000-70,000 kutoka 30,000 kabla ya 2021
 
Ndio mkulima tena wa mpunga na ngano na alizet mkuuu
Wakulima wanafurahia Kilimo Sasa hivi kuanzia bei ya mazao Hadi mitaji Kwa njia ya mikopo eg NMB pale riba ya mkopo wa kilimo.ni 9% kutoka 15% na mda wa marejesho unakubaliana mwenyewe na Bank na ndio maana mikopo inayoongoza Kwa Sasa ni ya Kilimo
 
ChoiceVariable inawezekana wewe ni chawa wa karibu sana wa serikali ya mafisadi Tanzania.
Kama unajitambua achana na kusifusifu vitu vya ajabu kwani havina maana.
We boya sipangiwi maisha Wala hunilishi..

Mpuuzi mmja kama wewe utaniambia nini? Mimi Niko huku down najua nachisema .

Ulitaka nitukane kama wewe au? Stupid
 
Wakulima wanafurahia Kilimo Sasa hivi kuanzia bei ya mazao Hadi mitaji Kwa njia ya mikopo eg NMB pale riba ya mkopo wa kilimo.ni 9% kutoka 15% na mda wa marejesho unakubaliana mwenyewe na Bank na ndio maana mikopo inayoongoza Kwa Sasa ni ya Kilimo
Mkuu kukopa benki kwa AJILI ya kilimo masharti ni yaoi na taratibu ni zipi?
 
Back
Top Bottom