Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano ndugu wataalamu.
Nataka kuaianza hii biashara ya kilimo na pia nikikodishwa nitaenda kumlimia mtu. Bado nafanya utafiti wa tractor gani ninunue Jembe na Harrow yake. Naamini humu mpo wenye uzoefu kuanzia bei, aina, wapi pa kununua, changamoto zake n. k.
Nitangulize Shukrani.
Nataka kuaianza hii biashara ya kilimo na pia nikikodishwa nitaenda kumlimia mtu. Bado nafanya utafiti wa tractor gani ninunue Jembe na Harrow yake. Naamini humu mpo wenye uzoefu kuanzia bei, aina, wapi pa kununua, changamoto zake n. k.
Nitangulize Shukrani.