Wakulima wa Korosho Mtwara, Mnada wa kwanza kilo 4075-4070

Wakulima wa Korosho Mtwara, Mnada wa kwanza kilo 4075-4070

aBuwash

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2023
Posts
262
Reaction score
497
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU, Karimu Chipola amefungua rasmi mnada wa kwanza leo
Na bei ndo ni kuanzia kilo 4075 hadi 4070

Kwa kweli hongereni wakulima hiyo ni babu kubwa sana
 
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU, Karimu Chipola amefungua rasmi mnada wa kwanza leo
Na bei ndo ni kuanzia kilo 4075 hadi 4070

Kwa kweli hongereni wakulima hiyo ni babu kubwa sana
kwa anaefahamu bei ya ufuta kwa mkoa wa mbeya naombeni msaada wakuu.
 
Back
Top Bottom