Wakulima wa mbegu za vitunguu, wauzaji pamoja na wanunuzi tukutane hapa

Kwa sasa yangu imeisha ila nachukua kwa wakulima nakuuzia kipimo ni kikombe na debe pia kg ambapo bei kwa sasa zipo juu debe 1 tsh. Laki 6 kamili
Kwa kilo moja bei yako ikoje? Je,ni ile ya Red b?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…