Baba Ndubwi JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 1,223 Reaction score 1,992 May 16, 2020 #21 Mr JM said: Mwenye kuhitaji mbegu ya kitunguu anicheki Click to expand... Mkuu unapatikana wapi na unauza kwa utaratibu gani.
Mr JM said: Mwenye kuhitaji mbegu ya kitunguu anicheki Click to expand... Mkuu unapatikana wapi na unauza kwa utaratibu gani.
Mr JM JF-Expert Member Joined Dec 21, 2016 Posts 266 Reaction score 466 May 17, 2020 #22 Baba Ndubwi said: Mkuu unapatikana wapi na unauza kwa utaratibu gani. Click to expand... Kwa sasa yangu imeisha ila nachukua kwa wakulima nakuuzia kipimo ni kikombe na debe pia kg ambapo bei kwa sasa zipo juu debe 1 tsh. Laki 6 kamili
Baba Ndubwi said: Mkuu unapatikana wapi na unauza kwa utaratibu gani. Click to expand... Kwa sasa yangu imeisha ila nachukua kwa wakulima nakuuzia kipimo ni kikombe na debe pia kg ambapo bei kwa sasa zipo juu debe 1 tsh. Laki 6 kamili
Baba Ndubwi JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 1,223 Reaction score 1,992 May 17, 2020 #24 Mr JM said: Kwa sasa yangu imeisha ila nachukua kwa wakulima nakuuzia kipimo ni kikombe na debe pia kg ambapo bei kwa sasa zipo juu debe 1 tsh. Laki 6 kamili Click to expand... Kwa kilo moja bei yako ikoje? Je,ni ile ya Red b?
Mr JM said: Kwa sasa yangu imeisha ila nachukua kwa wakulima nakuuzia kipimo ni kikombe na debe pia kg ambapo bei kwa sasa zipo juu debe 1 tsh. Laki 6 kamili Click to expand... Kwa kilo moja bei yako ikoje? Je,ni ile ya Red b?
S Sengmoni New Member Joined May 23, 2017 Posts 2 Reaction score 0 Jan 4, 2021 #25 Nanna said: Mi nalima Njia panda Moshi nashukur sijawahi Pata hasara Click to expand... hongera sana