gigabyte JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 5,717 Reaction score 6,465 Aug 1, 2024 #21 chiembe said: Luhaga Mpina alinunua watu waje waseme sekta ya sukari haiko vizuri, ona sasa wakulima walioko saiti wamemuumbua Click to expand... Mpina anunue watu ili iweje?.Anauwezo wakukaa kimya na hana anachopungukiwa.Mpina sio mjinga kama unavyofikiri.
chiembe said: Luhaga Mpina alinunua watu waje waseme sekta ya sukari haiko vizuri, ona sasa wakulima walioko saiti wamemuumbua Click to expand... Mpina anunue watu ili iweje?.Anauwezo wakukaa kimya na hana anachopungukiwa.Mpina sio mjinga kama unavyofikiri.
Pakawa JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 7,973 Reaction score 13,647 Aug 1, 2024 #22 chiembe said: Luhaga Mpina alinunua watu waje waseme sekta ya sukari haiko vizuri, ona sasa wakulima walioko saiti wamemuumbua Click to expand... Na wewe umeamini Ujinga wa Mwafrika hauna kiwango Waendelea kuwa maskini who cares Wanasaidiwa hawasaidiki Wasitupigie kelele Mpina kanyaga twende Bashe weh haya!
chiembe said: Luhaga Mpina alinunua watu waje waseme sekta ya sukari haiko vizuri, ona sasa wakulima walioko saiti wamemuumbua Click to expand... Na wewe umeamini Ujinga wa Mwafrika hauna kiwango Waendelea kuwa maskini who cares Wanasaidiwa hawasaidiki Wasitupigie kelele Mpina kanyaga twende Bashe weh haya!
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Aug 1, 2024 #23 gigabyte said: Mpina anunue watu ili iweje?.Anauwezo wakukaa kimya na hana anachopungukiwa.Mpina sio mjinga kama unavyofikiri. Click to expand... Ni mjinga, ndio maana hatutaki aambukize watu ujinga wake
gigabyte said: Mpina anunue watu ili iweje?.Anauwezo wakukaa kimya na hana anachopungukiwa.Mpina sio mjinga kama unavyofikiri. Click to expand... Ni mjinga, ndio maana hatutaki aambukize watu ujinga wake
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Aug 1, 2024 #24 kipara kipya said: Analo wapi mtu anaonekana muhuni wa mchongo mbele ya camera! Click to expand... Wewe tembeza chaja za simu mjini ndio ujione mjanja, watu wamewekeza kwenye kilimo
kipara kipya said: Analo wapi mtu anaonekana muhuni wa mchongo mbele ya camera! Click to expand... Wewe tembeza chaja za simu mjini ndio ujione mjanja, watu wamewekeza kwenye kilimo
kipara kipya JF-Expert Member Joined May 2, 2016 Posts 18,833 Reaction score 23,276 Aug 1, 2024 #25 chiembe said: Wewe tembeza chaja za simu mjini ndio ujione mjanja, watu wamewekeza kwenye kilimo Click to expand... Watu wewe hujawekeza si ndio nchi haiendeshwi na vibaka!
chiembe said: Wewe tembeza chaja za simu mjini ndio ujione mjanja, watu wamewekeza kwenye kilimo Click to expand... Watu wewe hujawekeza si ndio nchi haiendeshwi na vibaka!