Wakulima waandamana kutaka Waziri ajiuzulu, Bajeti ya Kilimo iongezewe

Wakulima waandamana kutaka Waziri ajiuzulu, Bajeti ya Kilimo iongezewe

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
thumbs_b_c_d05665a603058752ee5e3ebbc3b1cc0e.jpg

BULGARIA: Wakulima wakubwa na Wadogo wameandamana kwa siku ya pili walishinikiza Serikali kuweka Uongozi Unaowajibika pamoja na kuongezwa kwa Fedha za Ruzuku ya Kilimo nchini humo.

Kamati ya Mipango ya Wakulima hao imesema Umoja huo hautasitisha Maandamano hayo hadi Waziri wa Kilimo, Kiril Videev atakapojiuzulu huku wakitishia kufunga maeneo muhimu ya kuingia Mjini ikiwemo kumwaga maelfu ya Lita za Maziwa Barabarani.

Pia, Wakulima hao wamedai kuwa endapo Serikali ikipuuza matakwa yao ikiwa ni pamoja na kuzuia uagizwaji wa Ngano kutoka Ukraine, kuanzia Wiki ijayo wataingiza Mifugo wakiwemo Ng'ombe katikati ya Majiji yote.

=========
 
View attachment 2897199
BULGARIA: Wakulima wakubwa na Wadogo wameandamana kwa siku ya pili walishinikiza Serikali kuweka Uongozi Unaowajibika pamoja na kuongezwa kwa Fedha za Ruzuku ya Kilimo nchini humo.

Kamati ya Mipango ya Wakulima hao imesema Umoja huo hautasitisha Maandamano hayo hadi Waziri wa Kilimo, Kiril Videev atakapojiuzulu huku wakitishia kufunga maeneo muhimu ya kuingia Mjini ikiwemo kumwaga maelfu ya Lita za Maziwa Barabarani.

Pia, Wakulima hao wamedai kuwa endapo Serikali ikipuuza matakwa yao ikiwa ni pamoja na kuzuia uagizwaji wa Ngano kutoka Ukraine, kuanzia Wiki ijayo wataingiza Mifugo wakiwemo Ng'ombe katikati ya Majiji yote.

=========
Nchi zote karibia hapo Ulaya wakulima wameandamana na bado wanaendelea , wanalalamikia kukatwa kwa ruzuku ya pembejeo na punguzo la kodi + sera za hewa ya ukaa
Hali mbaya serikali zao hazina pesa ya kuwapa ruzuku wakulima hasa kwenye mafuta ,mbolea na mbegu na result ni mfumuko wa bei
Russian effect , wapumbav hawa walikuwa wamezoea Kitonga kwa mafuta ,gesi na mbolea za Mrusi
Wataisoma namba , na kwa sasa bei ya vyakula na nishati Ulaya hazishikiki
 
Nchi kama Germany ,industrial power house ya ulaya , viwanda vyake viingi mapaja sasa vimepunguza uzalishaji na vingine vinaendelea kufungwa , Germany yenyewe tu iko kwenye mdororo wa uchumi , ni hivyo hivyo kwa France , Netherlands ,UK ,Belgium nk
Hali ni mbaya
 
View attachment 2897199
BULGARIA: Wakulima wakubwa na Wadogo wameandamana kwa siku ya pili walishinikiza Serikali kuweka Uongozi Unaowajibika pamoja na kuongezwa kwa Fedha za Ruzuku ya Kilimo nchini humo.

Kamati ya Mipango ya Wakulima hao imesema Umoja huo hautasitisha Maandamano hayo hadi Waziri wa Kilimo, Kiril Videev atakapojiuzulu huku wakitishia kufunga maeneo muhimu ya kuingia Mjini ikiwemo kumwaga maelfu ya Lita za Maziwa Barabarani.

Pia, Wakulima hao wamedai kuwa endapo Serikali ikipuuza matakwa yao ikiwa ni pamoja na kuzuia uagizwaji wa Ngano kutoka Ukraine, kuanzia Wiki ijayo wataingiza Mifugo wakiwemo Ng'ombe katikati ya Majiji yote.

=========
Mainstream media wanajitahidi sana kuficha hii kitu ,kuna mahali nilicheki Ufaransa ,wakulima wanatumia matrekta na excavator kuharibu lami na kutapakaza kinyesi cha wanyama kwenye barabara na ofisi za EU na kwingine
 
Wakulima wa ulaya ni watu wanaojitambua.

Hawa wazungu ndio watu walio ona ili kupambana na sera kandamizi za kipebari ni tabaka la wanaoitwa wavuja jasho kupambana na tabaka nyonyaji.

Ndipo mapambano ya viwandani yalianza kupamba kasi miaka hiyo Europe wazungu wametoka mbali sana . Wakulima wao wanajitambua ulaya sasa ipo moto wakulima wa nchi mbalimbali wanaziweka kikaangoni serikali zao
 
Back
Top Bottom