Wakulima wadogo wote watageuka vibarua kwenye mashamba ya hawa mabepari

Wakulima wadogo wote watageuka vibarua kwenye mashamba ya hawa mabepari

Na hicho ndio kilimo kikifanyika kote kitakachoikwamua nchi. Acha wenye uwezo mdogo wasioweza kuungana wawe waajiriwa.
 
Habari wna bodi

Wiki iliyopita nilikua na ziara yangu binafsi katika baadhi ya vijiji vya mkoa wa Iringa. Nimejionea mashamba makubwa ya mahindi yanamwagiliwa kwa mitambo. Kwa sasa wenyeji wanasubiri mvua ndo walime wale wawekezaji mahindi yao yaanaanza kuchanua. Kwa hali hii ikiendelea miaka mitatu ijayo tutakua na haya
1. wakulima wadogo wote watageuka vibarua kwenye mashamba ya hawa mabepari maana hawatakua na uwezo wa kulima katika mashamba yao kutokana na bei kubwa hizi za mbolea
2. Hakutakua na mkulima mdogo bali wote tutategemea kununua unga kutoka kwa hawa mabepari wenye mashamba makubwa
3. Tutakua tunafanya vibarua kwenye haya mashamba kwa kunyanyaswa na kipato kidogo tutakachopata kitaishia kununua chakula( Tunageuka watumwa kwenye ardhi zetu)
We unafikiri manyanyaso yameanza jana,au yataanza hao mabepari wakianza kulima?
Tayari wananchi wanafanya vibarua kwenye mashamba makubwa,Kagera,Moro,Mbeya,Arusha,Kilimanjaro,huko kote Kuna kilimo kikubwa Cha wenye mitaji.
Moro pale viongozi,mawaziri wengi wanamiriki maheka makubwa ya ardhi,wanafuga,Cha kufanya papaaaa Anza kumkamata ardhi sehemu mbali mbali,tatizo wabongo wengi hununua ardhi kule walipozaliwa,we nunua ardhi Kigoma,Mbogwe,Kahama,Lindi,Mbeya,Dodoma,Bagamoyo!!
 
Back
Top Bottom