Wakulima wapata neema toka Serikalini.

Wakulima wapata neema toka Serikalini.

neym8990a

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2017
Posts
244
Reaction score
196
Baada ya wafanya biashara kugoma kununua korosho kwa bei ya zaidi ya shilingi 3000 hatimaye Serikali yaamua kijitosa katika hili na kuamua kununua kwa bei ya sh. 3300 kwa kilo. Hii ni moja ya kazi za serikali. Kuingilia kati wakati wakulima wanapodhulumiwa.
 
Hali itaendelea hivyo kwa muda gani?
Haitarudi kuwa kama vyama vya ushirika vilivyo fadhiliwa na serikali kumnyonya mkulima!
 
Back
Top Bottom