Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

Dah ly walikuwa wanatutesa sana madogo kipindi hicho yaan walikuwa wakubwa kwa saiz ni vitoto tu eti la saba. Kipindi kile hadi maticha walikuwa wagwaya baadhi ya wanafunz
 
Rishure baya nilisomea yaani kule ni kilugha tupu.kiswahili ni msamiati.
Utakisomea tu.

karibu robo tatu ya drs hawajui kusoma na kuandika hkn hata mtoto mmoja aliwahi shinda kwenda sec. Mpaka leo

Hata humu sijawahi sikia mtu kutoka Shule yangu hiyo ya...

Kibumaye Shule ya Msingi
SLP 172
Tarime Mara.

Japo mazingira ya shule ni mazuri.mitafi mingi lkn
mputyuuu! Km yumo humu aliyesoma hapo aseme kitu.

Mie nilihama nikiwa drs la nne huko niliko kwenda palikuwa tofauti kabisaaaa.....
 
Nilichapwa viboko 109 kisa kukamatwa na msichana
 
Siwezi sahau nimekula njiti sana
 
Tafadhali mwenye mawasiliano au mwenye kujua alipo aliyekuwa headmaster wa wa Mirambo sec. Tabora huko, aliitwa LC MUSSATA, miaka ya 1987.
 
Nawakumbuka wasongo, Tatu bora. Walikuwa wanajikuta sana Albert Einstein
 
Niliwah fungiwa kwenye maktaba kisa balua aliyoandika rafiki yangu afu akaweka jina hapo ilinibidi niwapiga kitabu
 
Kwa wale wa kanda ya kati hususan dodom mtakua mnakumbuka tabia ya kusugua mbegu ya ubuyu kwenye sakafu na kuchoma wenzio..nikajichanganya kwa dada mmoja anaitwa fatuma nandonde nlimchoma bana nilikula kofi likasikika darasa zima
 
STD 7 tukiwekwa dawati 1 na wadada, mi nikawa nakaa kati, wakati wa kuandika nakuwa napikicha titi la mdada na kiwiko makusudi
 
Niliwahi mtegeshea peni makalioni mshikaji mmoja wakati kasimama kujibu swali, alipikuja kukaa(kuikalia) sintosahau[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji91][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…