DOKEZO Wakurugenzi na Wakuu wa Idara (sana sana DMO's na DEO's) wamekuwa kikwazo kwenye zoezi zima la uhamisho wa watumishi kwa mfumo mpya ESS

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna mgomo baridi labda..

Maana nasikia Semina walienda DHROs/Wakkuu wa idara ya Utumishi.

Wanaofanya kazi ni Maafisa Utumishi, kwahiyo wanajifanya hawaelei kitu.
Maafisa utumishi nao wanataka rushwa nimetonywa hiyo na jamaa wa ofisi
 
Habari zenu wakuu
Shida huu mfumo ukitaka kukopa pia ni changamoto una errors nyingi na sana
 
Habari zenu wakuu
Shida huu mfumo ukitaka kukopa pia ni changamoto una errors nyingi na sana
Try as much as possible ni system tu inacheza,andaa pia hela ya kumuhonga HRO ili mambo yaende haraka maana utumishi hawana taarifa kama bado unafanya kazi au umeshaacha

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
mtu anayeweza kunisadia Mke wangu akahama aisee nitampa pesa, sina namna, nilishatoa pesa mara ya kwanza ikaliwa ila sijachoka
 
Mimi nilifanya Transfer Vacancy Request kwenda taasisi nyingine wakaiReject, na wakatoa sababu ya kureject.

Sasa kila nikijaribu kuomba sehemu nyingine wananiandikia "YOU HAVE OTHER PENDING REQUEST" ambayo tayari walishaiReject.

Nashindwa kwenda mbele, nashindwa kurudi nyuma. Na option ya kuiDelete ile request iliyokataliwa hamna.

Msaada wanakwetu wenye kujua jinsi ya kichomoka hapo.
 
Delete Ile transfer ya mwanzo
 
Hatar kwel😭
 
Nini tofauti ya TRANSFER REQUEST NA VACANCY REQUEST?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…