johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Rais Magufuli alitoa agizo la kuwataka DEDs wa halmashauri zilizo vijijini lakini wenyewe wanaishi mjini kuhamia maeneo yao ya kazi ndani ya siku 30 na mwisho ni tarehe 07/11/2019.
DED wa Tarime vijijini ameshafungasha virago na tayari yuko kijijini na amewataka watumishi wote kuwa wamehamia kufikia tarehe hiyo ya mwisho.
Naye RC Chalamila wa Mbeya amempa Ded wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya masaa 24 kuondoka jijini humo yeye na watumishi wake na kuwafuata wananchi kijijini.
Chalamila amesema ameandaa gari la jeshi, gari la polisi na gari la magereza kwa ajili ya kubeba nyaraka za serikali katika uhamisho huo.
Chanzo: TBC
DED wa Tarime vijijini ameshafungasha virago na tayari yuko kijijini na amewataka watumishi wote kuwa wamehamia kufikia tarehe hiyo ya mwisho.
Naye RC Chalamila wa Mbeya amempa Ded wa halmashauri ya wilaya ya Mbeya masaa 24 kuondoka jijini humo yeye na watumishi wake na kuwafuata wananchi kijijini.
Chalamila amesema ameandaa gari la jeshi, gari la polisi na gari la magereza kwa ajili ya kubeba nyaraka za serikali katika uhamisho huo.
Chanzo: TBC