Wakurugenzi wa Makampuni ya Mafuta ya PUMA, Oryx, TOTAL na Lake Oil wakamatwa na Polisi kwa kuvuruga mfumo wa usambazaji!

Utafurahi kiasi gani pale wewe unaponunua kitu chako kwa bei ya 2000 kwa ajili ya biashara then anatokea mtu anakuamuru uuze kwa 500?
Sio kweli,soko la dunia mafuta yameshuka sana.
lakini mbona mafuta yakipanda soko la dunia,wamiliki wa hizi petrol station na wao wanapandisha fasta hata kama anastock ya mafuta aliyonunua mwezi mmoja nyuma?
 
Ikiwa kuna mtanzani mpaka leo bado anaamini serikali inaweza kufanya biashara basi naona tatizo ni kubwa kuliko tunavyodhani anyway endelea kuamini unachamini Ila kwa mawazo ya namna hii ndio maana Nchi za Africa umaskini umejenga makao yakudumu
 
Utaratibu wa usambazaji/uagizaji na kutambua mahitaji ya mafuta huwa ni jukumu LA nani?Kwa nini hadi uhaba/ukosefu wa bidha muhimu utokee na kusababisha kero ndipo hatua zianze kuchukuliwa?Je,hapo waliokamatwa ndiyo waliosababisha tatizo LA ukosefu wa mafuta?Hatuna mifumo ya regulations of demand and supply in the country?
 
Ni q
18$
 
Kwahiyo unaombea inchi iingie kwenye machafuko
 
Huwa najiuliza kwann serikali haitoi ruzuku kufidia hasara kwa hawa wafanya biashara.....?! Details za manunuzi yao si wanazo....?!
 
Mbona shirika la ndege lina bei sana nauli zake na wakati tunategemea liwe chini kushinda zote, kama fastjet waliweza kuweka nauli ya daladala wao serikali wanashindwa wapi?!
 
Kwahiyo unaombea inchi iingie kwenye machafuko
Mbona jeshi wananunua mizinga na kuna askari wapo tu wanafanya mazoezi ina maana wanaombea machafuko.

Ilikuwa ni point tu kwenye maswala ya National security nishati ni sehemu ya silaha muhimu kuliko yoyote unayoijua wewe.
 
Are you sure?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…