Mimi ni kijani naamini Mkulu atasikia hili namsihi achukue hii fursa kama chanzo kipya cha mapato ya serikali na kuleta nafuu kwa wapigakura wake kupitia kupunguza kodi za maduka mitaani ambayo mitaji inakata maduka yanafungwa kila siku kodi kubwa , mapato ya mafuta yatumike kufidia punguzo la kodi za maduka mitaani na kuwaletea raia nafuu ya maisha na hapo atawafunga mdomo Bwana Nape na Prof Mukandala ambao wanasema Mkulu hafuati ilani ya Chama inayomtaka kujali maendeleo ya watu kwanza na si miundombinu!!
Nashauri Mkulu tunaemkubali sana aunde kamati ya kudumu ya huu uwekezaji mpya wa mafuta, Mkuu wa Majeshi mstaafu awe Mwenyekiti , katibu awe Bashe ila asaidiwe na Zitto atakaempa mawazo mbadala na kinzani ( watu hawa wawili ni geniuses kwa mawazo yangu)
Naishauri serikali sasa iamue inunue na kuuza mafuta yenyewe kwenye vituo vyake nchini na ichukue tenda za mafuta nje ya nchi tutaona matunda yake muda mfupi tu kuna hela sana huko kwenye mafuta ndo maana mabeberu hawaachii na serikali wakipata faida tupunguziwe kodi za biashara za maduka yetu mitaani, muda wa mabeberu kuiba bongo umeisha!!
Inaitwa state capitalism, mkuu najua ninachosema nimekisomea tena nje si hapa elimu ya kukariri nakuhakikishia tatizo letu ni kukosa watu sahihi tu kusimamia miradi, hicho kinawezekana in one day, kupanga ni kuchagua! hata ukuta wa Mererani mlibeza leo yametolewa mawe ya ajabu!
mimi naishi kwa business ndugu i know everything about business