laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Hayo mambo ya India ilikuwa zamani ukweli ni kwamba Tanzanite imepungua mno sasa hiviSara kama zimeuzwa kill 13 halafu India wanauza zaidi. What does that tell
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanatumia viungo tofauti kufikiri...achana nayeWewe nafikiri umechanganyikiwa! Tume ya Bunge ndiyo iliyochunguza nakuona hayo matatizo sasa serikali inapochukua hatua mapendekezo ya bunge unasema matatizo ni ya Mh. Rais Magufuli?? Hivi wewe ni kupinga kila kitu tu?? Tukuamini kweli wewe??
Faisal n hussein hisa zao ndogo sana mwenye Sky Associates group sio raia wa hapa yuko ughaibuni
Wabanwe mpaka wamlete huyo mwenye mali!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani TRA haiwezi kudanganywa?Mkuu nafurahia patriotism unayoionysha.
Nikupe tahadhari, ukitakiwa kumuokoa mtu anayekufa maji nenda kwa timing kali asikudake na kukunyima uwezo wa kuogelea akageuka nanga yako mkazama wote na kufa maji.
Jiulize kidogo.
Hizo almasi zimelipiwa kodi?
Usiliongezee swali la ziada kutaka kujua kodi ilikuwa stahiki ama la!
Kutaifisha haikuwa njia sahihi kwa mujibu wa mifumo na kanuni za biashara.
Kitanuka siku moja, msitufuatilie na magari meupe mkatutupukula na masasi kutumbo!
mkuu hao sky wamenunua mgodi ili wapate madin na madini yote yanayopatikana hapo ni ya kwao mkuu sasa ulitaka wakishapakua mzigo wakupe wewe? ..........hata kama wamepata tani 100000 ni za kwao mkuu............wakina Sunda nao si wana migodi ina maana hawapakui mizigo /Kuna mengi sana hpo tanzaniteone ila uwizi upo toka enzi ya mzungu istoshe hawa sky wamepakua mzigo wa kutosha cnc wamechukua kampuni.....stamico nao wahusika kuanzia mkurugenzi wao
Sent using Jamii Forums mobile app
We live once.
Tunakubaliana na jambo moja tu!
Ukifa ndio utaonana na aliyekufanya uwe hai!
sawa acha tukurupuke ikikuuma sMnakurupuka mtakuja kujuta! Haraka ya nini? Jiridhishe kuwa mna ushahidi wa kutosha kuwatia hatiani. Najua ni kukurupuka.
kwa mfano?Watajuta muda si mrefu
Na hata almas,mwadui,huko ndiko kina majuto makuu ambayo yataleta Kilimo kikuu kwa taifa
bangi mbaya sana!kwa hiyo kumkamata mwizi wako ni kosa??Watajuta muda si mrefu
Na hata almas,mwadui,huko ndiko kina majuto makuu ambayo yataleta Kilimo kikuu kwa taifa
uchizi si lazima uokote makopo barabarani,toa sabb vinginevyo utakuwa ni mmojwapo wa vyeti feki kwa iyo tulia tu dawa ikuingie taratiiibuNiseme wazi bila kificho!
Magufuli hajui anachofanya!
Kama kweli tulimchagua basi tulimkosea MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI.
Tunatubu kwa kosa hili tunaomba atusamehe na kutufanyia wepesi.
Yupo wakati wa pili si vibaya kughairi.
Mwanasheria wa Wizara ya Madini kwa muda wa miaka ishirini mbona haguswi?Jinga lao, serikali haijawahi shinda kesi hata moja ya mahakama za kimataifa. This will also follow the suit! You are moved by emotions and cheap popularity
Ni msukuma , most likely!Mwanasheria wa Wizara ya Madini kwa muda wa miaka ishirini mbona haguswi?
Ana roho mbaya afadhali shetani.uchizi si lazima uokote makopo barabarani,toa sabb vinginevyo utakuwa ni mmojwapo wa vyeti feki kwa iyo tulia tu dawa ikuingie taratiiibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ulipozaliwa uliagana na hao waliokuzaa kwa vitu walivyokupa?yes, ukifa wengine wanazaliwa na nchi inaenda! au ulkitaka ukifa wewe au mimi iwe ndio mwishgo wa dunia?
Nchi zilizoendelea pamoja na utajiri mkubwa walionao lakini hawapumziki kutafuta mali na kutunza walioz nazo...unajua ni kwanini? Jibu ni moja tu, kuwa wamefundishwa kutafuta mali kwa ajili ya wajukuu wa wajukuu wasio wafahamu....tofauti na sisi ambao tunakula urithi wa wajukuu zetu, ili wao wakija wasikute hata kitu kunaitwa faru au almasi!
Na hao ndo wanaleta madhara makubwa zaidihatuwataki wakurugenz, itunawataka watu wasiojulikana!