Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja hawa ndio watwndaji wakuu wa hlamshauri lazima waws wazawa wa eneo husika ili wapambanie kuinua halmashauri zao.Wakuu napendekeza wakurugenzi wateuliwe kutoka kwenye maeneo husika ili kuwa na uchungu wa pesa za miradi zinazotolewa kwenye maeneo husika. Hii ya kuletewa mkurugenzi asiye mwenyeji wa eneo husika inachochea ubadhirifu wa pesa za maendeleo.
Maeneo kama hayo ndio yataletewa wenye sifaKuna maeneo yatakosa wakurugenzi kwa kukosa sifa stahiki.Umewahi kufikiria hilo?
Ikibidi wapigiwe kuraWakuu napendekeza wakurugenzi wateuliwe kutoka kwenye maeneo husika ili kuwa na uchungu wa pesa za miradi zinazotolewa kwenye maeneo husika. Hii ya kuletewa mkurugenzi asiye mwenyeji wa eneo husika inachochea ubadhirifu wa pesa za maendeleo.
Kwa karne hii 🤔🤔🤔🤔🤔Kuna maeneo yatakosa wakurugenzi kwa kukosa sifa stahiki.Umewahi kufikiria hilo?
Madiwani wanalipwa Tena wapo mkeka wa serikali kuu(Central Gov)Mfumo upo kinafiki sana, mkurugenzi mtendaji anateuliwa na Rais na analipwa mshahara, madiwani wanaosimamia maendeleo wanachaguliwa na wananchi hawalipwi zaidi ya posho ndogo za vikao. Mkurugenzi anafahamu njaa za madiwani wake anawachora tu na madiwani wanafahamu ulaji wa mkurugenzi na idara zake kwa hiyo wote wanachorana tu!
Hii hii.Kwa karne hii 🤔🤔🤔🤔🤔
Hilo ni hitaji la Katiba mpya.Wakuu napendekeza wakurugenzi wateuliwe kutoka kwenye maeneo husika ili kuwa na uchungu wa pesa za miradi zinazotolewa kwenye maeneo husika. Hii ya kuletewa mkurugenzi asiye mwenyeji wa eneo husika inachochea ubadhirifu wa pesa za maendeleo.
Kabla hujashauri hivyo,Fanya utafiti zaidi kwa kupata uzoefu wa mfumo wa counties wa Kenya.Wakuu napendekeza wakurugenzi wateuliwe kutoka kwenye maeneo husika ili kuwa na uchungu wa pesa za miradi zinazotolewa kwenye maeneo husika. Hii ya kuletewa mkurugenzi asiye mwenyeji wa eneo husika inachochea ubadhirifu wa pesa za maendeleo.