Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Mkuu hawaibi bali wanapora ushindi na Mkurugenzi kulazimishwa amtangaze mshindi kwa wanaemtaka.2020 wataiba kura vituo vingapi,mana wasiojulikana mziki utawashinda ujinga una mwisho mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hawaibi bali wanapora ushindi na Mkurugenzi kulazimishwa amtangaze mshindi kwa wanaemtaka.2020 wataiba kura vituo vingapi,mana wasiojulikana mziki utawashinda ujinga una mwisho mbaya
Mamlaka baba.lakini yanapita tu hayaSasa inakuwaje nyinyi Chadema mnashindwa na chama chenye watu walionyimwa maarifa!???
CCM na viongozi wao wapumbavu sana hakika!View attachment 640728 Ndo mjue huu ushindi wa kata 42 waliopiga kura na kushinda ni polisi chini ya uangalizi wa ccm, NEC kusaidia kukandamiza haki za wengi na wakurugenzi kutangaza matokeo huku upinzani wakitekwa na kuitwa wavunjifu wa amani na NEC ikibariki kiwa uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Ndo itambulike kuwa uchaguzi huru na haki ni ndoto.
Hiki cheti hata wewe unaweza ukakitengeneza kwa kuhalalisha propaganda zakoView attachment 640728 Ndo mjue huu ushindi wa kata 42 waliopiga kura na kushinda ni polisi chini ya uangalizi wa ccm, NEC kusaidia kukandamiza haki za wengi na wakurugenzi kutangaza matokeo huku upinzani wakitekwa na kuitwa wavunjifu wa amani na NEC ikibariki kiwa uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Ndo itambulike kuwa uchaguzi huru na haki ni ndoto.
Photoshop imekugomea. umejitahidi sana bahati mbaya MHURI Umekuangusha, rudi tena darasani ili siku nyingine utafanya vizuri zaidi.View attachment 640728 Ndo mjue huu ushindi wa kata 42 waliopiga kura na kushinda ni polisi chini ya uangalizi wa ccm, NEC kusaidia kukandamiza haki za wengi na wakurugenzi kutangaza matokeo huku upinzani wakitekwa na kuitwa wavunjifu wa amani na NEC ikibariki kiwa uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Ndo itambulike kuwa uchaguzi huru na haki ni ndoto.
DuuuhImekaa poa sana kimkakati...chadema wamelala tu fofofofo...vijana wao wapo jela hata kuwajulia hali hamna mwenyekiti anakula bata tu na wema sepetu...lazima vijana wa bavicha wasepe msingizie wamenunuliwa...hata demu wako uspomjali lazima aamshe popo
View attachment 641047 View attachment 641048
Imekaa poa sana kimkakati...chadema wamelala tu fofofofo...vijana wao wapo jela hata kuwajulia hali hamna mwenyekiti anakula bata tu na wema sepetu...lazima vijana wa bavicha wasepe msingizie wamenunuliwa...hata demu wako uspomjali lazima aamshe popo
View attachment 641047 View attachment 641048
Mku huku ndani sio wamoja ndo maana hii certificate tumeipata huku huwa wanabisha lakini mm humu ndani najua makundi ni mengi ya Ukanda na ya huu uchaguzi wa ndani uliopita haujatuacha salama watu pa kuongelea hakuna mambo sio tunajifariji.Leo kwa Wapinzani ,wakisha malizwa watageukiwa na wao .