Wakurya shikamooni....!!!

Wakurya shikamooni....!!!

Wakurya watatu wakiwa kwenye daladala...
Mkurya wa kwanza.. "dereva sukisa mimi hapa..
Mkurya wa pili... "inaonekana una chinda ya maneno dugu"...
Mkurya wa tatu.. Huku akicheka "wewe bana jeka mwenzako nyi wote mna chinda ya kubronounce..!!!
😀😀😀😀
Acha kuwaweka wakurya kwenye mambo ya kijinga wwww
 
Wakurya watatu wakiwa kwenye daladala...
Mkurya wa kwanza.. "dereva sukisa mimi hapa..
Mkurya wa pili... "inaonekana una chinda ya maneno dugu"...
Mkurya wa tatu.. Huku akicheka "wewe bana jeka mwenzako nyi wote mna chinda ya kubronounce..!!!
😀😀😀😀
Mura unazingua mura
 
Wakurya watatu wakiwa kwenye daladala...
Mkurya wa kwanza.. "dereva sukisa mimi hapa..
Mkurya wa pili... "inaonekana una chinda ya maneno dugu"...
Mkurya wa tatu.. Huku akicheka "wewe bana jeka mwenzako nyi wote mna chinda ya kubronounce..!!!
😀😀😀😀
Hii umeokota Mkuu, inaonekana hujui kabisa lafudhi ya wKurya
 
Back
Top Bottom