Wakurya Shikamooni

Akili nayo mzigo kwahy kila mtu akiwa anajichukulia sheria mkononi kuna atakaebaki duniani?
 
Tuombe radhi wakunyumba, tafadhari.
 
Akili nayo mzigo kwahy kila mtu akiwa anajichukulia sheria mkononi kuna atakaebaki duniani?
Umesahaua kila siku watu wa Tanapa wanaua ndugu zetu kwa risasi bila kufuata sheria.

Jicho kwa jicho
 
Ni mashamba kupindukia yanatumia nguvu asilimia kubwa kuliko akili.
Ukifuatilia mauaji ya kanda ya ziwa yanahusika kwa asilimia kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…