Wakuu benk ipi itanifaa kwa inshu za manunuzi online

Mkuu ukichukua hiyo Kadi ya BancABC inachukua muda gani mpaka iwe tayari kwa matumizi ya online transaction?Na Je kama unafahamu dial code zao za mobile banking naomba unisaidie
 
Mkuu ukichukua hiyo Kadi ya BancABC inachukua muda gani mpaka iwe tayari kwa matumizi ya online transaction?Na Je kama unafahamu dial code zao za mobile banking naomba unisaidie
Itakuchukua dakika 15 - 20 kupata kadi iliyotayari kwa matumizi

BancABC hawana dial code yao. Bali hutumia za makampuni ya simu kama *150*00# au *150*01# nk ili kuweza kuongeza fedha kwenye account yako. Huenda kwa siku zijazo wakawa nayo.

Ila kwa equity bank wanayo hii *150*07# ,Kisha ingiza PIN no. yako. (itafanya kazi kwa namba ambayo uliyojaza katika fomu ya benki) Menu itakayotokea ni hii.

Pia kwa equit wana application yao, utaipata play store, Ina mengi yakufanya hivyo kumaliza mahitaji yako yote ya kibenki kutumia simu yako.

Karibu
 
Sio kusudi la mleta uzi
 
Ongeza na UBA wao pia wana kadi za namna hiyo kwa gharama ya 10,000/=
 
Nililazimika kutoka CRDB kwa sababu ya kupoteza pesa. Jibu nililopata ni kuwa online transaction hawawezi kuzitrack mpaka wawasiliane na VISA company US. Sikupata msaada wowote, sasa natumia UBA card
 
Exim Bank mkuu.. Wana credit card MasterCard au Visa zote ziko poa kwa online transaction..
 
Kwakweli equity bank wapo poa sana sana ktk hizi huduma. Mi natumia ATM card yangu kufanya online transactions!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…