Wakuu, Bia na Pombe kwa ujumla vimenishinda

Wakuu, Bia na Pombe kwa ujumla vimenishinda

Drone Camera

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2017
Posts
14,041
Reaction score
13,907
Heri ya mwaka mpya.
Hivi nyie mnawezaje? Mimi zimenishinda kabisa.
Msiseme mimi mtoto, nina miaka ya kutosha tu lakini kwa hizi bia nimenyanyua mikono.
Nakumbuka utotoni baba aliacha bia mezani, nikaiiba kidogo nikihisi ni tamu sana kutokana na wageni kuzishambulia pale nyumbani. Ilinishinda. Leo tena nimeijaribu wapi imenishinda kabisa. Nadhani leo ndo tumeagana.

RIP bia na pombe kwenye mwili wangu.
 
Weeee jamaa vipi? Badala ya kumshukuru Mungu kukutenga na kilevi unalalamika? Pombe kiuhalisia sio nzuri. Haina faida yoyote zaidi ya kukupotezea pesa na muda! Unaona wanaokunywa pombe wanafaidi saaana? Kalaghabaho wewe! Mimi nakunywa pombe nikiwa katika fursa ya kunywa nakunywa kama fursa sina sinywi! Utashangaa mvuta sigara anajiona anafaidi saana kuliko asiyevuta! Pia unaweza kukuta asiyevuta sigara anamuona mvutaji matawi ya juu! Huu woote ni useng*. Lakini ulevi ni ulevi tu unaweza ukawa hunywi pombe lakini ubongo umejaa papuchi za mwajuma, amina, Betty, Judy, n.k. na ukawa unatumia pesa nyingi kuliko mlevi. All in all respect maisha ya kila mtu aliyojichagulia. Mwisho kama umebahatika kutokunywa pombe achaa kabisa hii kitu sio! Lakini pia acha papuchi, sio tu zitakufilisi lakini utalogwa kama hutauwawa kwa kufumaniwa!
 
Kunywa Savana au Smirnoff Double black hivi hata Serengeti lite jamani ni chungu?
 
Back
Top Bottom