House of Commons
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 2,179
- 2,177
Heri ya mwaka mpya..
Hivi nyie mnawezaje...? Mimi zimenishinda kabisa.
Msiseme mimi mtoto,nina miaka ya kutosha tu lakini kwa hizi bia nimenyanyua mikono....
Nakumbuka utotoni baba aliacha bia mezani,nikaiiba kidogo nikihisi ni tamu sana kutokana na wageni kuzishambulia pale nyumbani...Ilinishinda.... Leo tena nimeijaribu wapi imenishinda kabisa... Nadhani leo ndo tumeagana...
RIP bia na pombe kwenye mwili wangu...
Mkuu wewe ni me au ke? Kama ni me jiangalie sana, yani unadiriki kusema bia ni chungu?Bahati yangu mimi pia. Nilishajaribu bia zote zinakuwa chungu mdomoni mwangu. Toka mwaka 1998 sijawahi kunywa pombe na sitakunywa tena
Hongera yenu.... Mi siweziNaam inatujua vzr sana.
Wajaza nzi mezani hua haihitaji uwepo wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha dah ,Hawa jamaa Hawa,hawajui tu bia ni tamu kuliko novidaMkuu wewe ni me au ke? Kama ni me jiangalie sana, yani unadiriki kusema bia ni chungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vi savanna vichungu[emoji3]Kunywa Savana au Smirnoff Double black hivi hata Serengeti lite jamani ni chungu?
Pamoja sana kiongozi..... Hizi ndude kwa bahati nzuri zimetukataa.....Mola atuepushe mbali na kikombe hikiBahati yangu mimi pia. Nilishajaribu bia zote zinakuwa chungu mdomoni mwangu. Toka mwaka 1998 sijawahi kunywa pombe na sitakunywa tena
Hakuna ubaya wowote na hiyo haimwondelei hadhi ya jinsia yake... Ni kama tu wanaokula pilipili wengine hawali,nyanyachungu,wengine humu wanalalamika kabechi nk...Bia ni CHUNGU.Mkuu wewe ni me au ke? Kama ni me jiangalie sana, yani unadiriki kusema bia ni chungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha Mkuu uzuri hata huo ulevi wa papuchi sina……Ila hata kulalamika silalamiki zaidi napenda hali hiyo..Weeee jamaa vipi? Badala ya kumshukuru Mungu kukutenga na kilevi unalalamika? Pombe kiuhalisia sio nzuri. Haina faida yoyote zaidi ya kukupotezea pesa na muda! Unaona wanaokunywa pombe wanafaidi saaana? Kalaghabaho wewe! Mimi nakunywa pombe nikiwa katika fursa ya kunywa nakunywa kama fursa sina sinywi! Utashangaa mvuta sigara anajiona anafaidi saana kuliko asiyevuta! Pia unaweza kukuta asiyevuta sigara anamuona mvutaji matawi ya juu! Huu woote ni useng*. Lakini ulevi ni ulevi tu unaweza ukawa hunywi pombe lakini ubongo umejaa papuchi za mwajuma, amina, Betty, Judy, n.k. na ukawa unatumia pesa nyingi kuliko mlevi. All in all respect maisha ya kila mtu aliyojichagulia. Mwisho kama umebahatika kutokunywa pombe achaa kabisa hii kitu sio! Lakini pia acha papuchi, sio tu zitakufilisi lakini utalogwa kama hutauwawa kwa kufumaniwa!
Ati wengine wanasema si uanaume...Bora tu zimekushinda, mshukuru sana Mungu. Huo ndio uanaume sasa.
Who are they by the way? Usije wasikiliza kabisa. Umechagua njia sahihi na salama sana.Ati wengine wanasema si uanaume...
Niliwahi ambiwa ni tamu sijawahi kuvijaribu
Shukrani mkuu... Na hakika siwezi ingia kabisa huko.Who are they by the way? Usije wasikiliza kabisa. Umechagua njia sahihi na salama sana.
Dah...Acha ujinga wewe...bia sio lazima unywe wewe...nunua bia zimwage au wape wasio na uwezo wanywe wafurahi...Heri ya mwaka mpya..
Hivi nyie mnawezaje...? Mimi zimenishinda kabisa.
Msiseme mimi mtoto,nina miaka ya kutosha tu lakini kwa hizi bia nimenyanyua mikono....
Nakumbuka utotoni baba aliacha bia mezani,nikaiiba kidogo nikihisi ni tamu sana kutokana na wageni kuzishambulia pale nyumbani...Ilinishinda.... Leo tena nimeijaribu wapi imenishinda kabisa... Nadhani leo ndo tumeagana...
RIP bia na pombe kwenye mwili wangu...
Siyo wanaume kamiliHaha dah ,Hawa jamaa Hawa,hawajui tu bia ni tamu kuliko novida