kimbisi mbisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 508
- 132
Jamani kwa muda sasa
huwa najiuliza huwa inakuwaje mtu unaenda hospital kupima, lkn dr
anakwambia ati ugonjwa hauonekani, hivyo tiba hakuna. Lkn ukienda kwa
watu wa tiba asilia unafanikiwa, hii imekaaje jamani? Kwa wanafahamu
naomba wanijuze.
mm sijawahi kuumwa na kwenda kwa dr kupima ila hao wa tiba ya asili wanatibu
kutokana na maelezo yako na si wote wanatibu tho unaweza tumia dawa ya
asili kwa ugonjwa mmoja itibu magonjwa mengi.
Utakuwa umerogwa ww
tatizo ni kuwa Tanzania hawana vifaa vya kutosha ndio maana dokta anakwambia tatizo halionekani ndio uwezo wake ulipofikia.
Njoo hapa marekani mwili unaingizwa kwenye mashine unakagua kila kitu kama kimekaa vizuri kuanzia unyayo hadi kisogo nje na ndani.
Ndio maana wakuu wenu waa nchi uja uku kuangalia afya