Kwan watoto wote wanaongea lugha moja mfano nkamchukua mtoto wa kisukuma nkampeleka ubelgiji na zile mama amamamamaa taaaatiiiiiir zao wataelewana.Wakuu habari.
Nikiwa naangaika na kupata usingizi basi namuona paka hapa amelala. Nawaza, mfano nikamchukua nikampeleka nchi za mbali mfano Russia akakutana na nyau wa kule, je wataelewana zile "nyau nyau" zao?
If possible na wanyama wengine kama mbwa, je? Ambao wana ile milio ambayo wao kwa wao wanaelewana?
Kama mmeshalala poleni kwa uchovu.
Ukimsikia Mrusi kabanwa na mlango anapiga kelele kwa Kirusi utajua huyu kaumia?Wakuu habari.
Nikiwa naangaika na kupata usingizi basi namuona paka hapa amelala. Nawaza, mfano nikamchukua nikampeleka nchi za mbali mfano Russia akakutana na nyau wa kule, je wataelewana zile "nyau nyau" zao?
If possible na wanyama wengine kama mbwa, je? Ambao wana ile milio ambayo wao kwa wao wanaelewana?
Kama mmeshalala poleni kwa uchovu.
Big up Bro , umejibu vzrUkimsikia Mrusi kabanwa na mlango anapiga kelele kwa Kirusi utajua huyu kaumia?
Sent from my typewriter using Tapatalk
Hii ndo inaitwa critical thinkingUmeandika Nini?
Kwan watoto wote wanaongea lugha moja mfano nkamchukua mtoto wa kisukuma nkampeleka ubelgiji na zile mama amamamamaa taaaatiiiiiir zao wataelewana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaelewana. Ukizisikia hizo nyau nyau, hata wewe utajua nyau hii ni ya kawaida, nyau hii ana hasira, labda umemkanyaga mkia, nyau hii anatongozana na mwenzake, hivyo wenyewe kwa wenyewe ni zaidi.Wakuu habari.
Nikiwa naangaika na kupata usingizi basi namuona paka hapa amelala. Nawaza, mfano nikamchukua nikampeleka nchi za mbali mfano Russia akakutana na nyau wa kule, je wataelewana zile "nyau nyau" zao?
If possible na wanyama wengine kama mbwa, je? Ambao wana ile milio ambayo wao kwa wao wanaelewana?
Kama mmeshalala poleni kwa uchovu.
Hii ndo inaitwa critical thinking
Hata moja ya gunduzi kubwa za kisayansi zinaanza na maswali haya haya unayoyaona ya kijinga
Sent using Jamii Forums mobile app