Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Wakuu Salam zenu
Baada ya droo kupangwa na Kila timu kumjua mpinzani wake kumetokea kitu ambacho hakikutalajiwa hapa bongo especially Kwa dunduka fans
Mitaa yote kimya, zile mbwembwe za waliokuwa wanajiita wa kimataifa ....zimepoa, media Kwa wachambuzi wa mchongo kimya za chini chini naskia Hadi wachezaji wa Simba ( kolo wizards) wanatetemeka kiasi Kwamba ukitaja wydadi vijana wanapoteana
Swali: wakuu Je pale mjini CAF hakuna Sheria ya kusurrender/ kukacha/ kuingia mitini kistaarabu bila kuchuliwa hatua pale mambo ukiona magumu?
Na kama hakipo basi madam babra afanye wepesi ili sisi wanasimba tusipoteze muda + resources
Majibu yawe mafupi, nawasilisha
Baada ya droo kupangwa na Kila timu kumjua mpinzani wake kumetokea kitu ambacho hakikutalajiwa hapa bongo especially Kwa dunduka fans
Mitaa yote kimya, zile mbwembwe za waliokuwa wanajiita wa kimataifa ....zimepoa, media Kwa wachambuzi wa mchongo kimya za chini chini naskia Hadi wachezaji wa Simba ( kolo wizards) wanatetemeka kiasi Kwamba ukitaja wydadi vijana wanapoteana
Swali: wakuu Je pale mjini CAF hakuna Sheria ya kusurrender/ kukacha/ kuingia mitini kistaarabu bila kuchuliwa hatua pale mambo ukiona magumu?
Na kama hakipo basi madam babra afanye wepesi ili sisi wanasimba tusipoteze muda + resources
Majibu yawe mafupi, nawasilisha